Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 858
- 343
nilitaka kusema Heaven on earthulikuwa unataka kusemaje
nilitaka kusema Heaven on earthulikuwa unataka kusemaje
umelaaniwa wewe KILA GOTI LITAPIGWA KWA MWENYEZI MUNGU TU NOTHING ELSE.
mpenzi mwenye pesa mtamu sana yani!!! hebu nyie wanaume tafuteni pesa kwa bidii malalamiko yaishe.....
asiye fanya kazi na asipewe mahaba matam eenh ayasikie yako india tuu!!!
nadhani umekosea kidooogo
EVERY MAN WITH MONEY HIS HANDSOME
Jamani nimepatwa na mtihani ati nasema nampenda kila siku, lakini nashindwa kumsaidia wakati huu anahitaji msaada wangu zaidi? mapenzi gani haya''! nashindwa hata kumnunulia Samsung galaxy tuweze kuwasiliana whatsapp nashindwa kumpa hela ya shopping kama wenzie wanafanya shopping zizou fasion mlimani city yeye shopping yake machinga complex tuu, ati Mimi mwanaume gani mwanaume suruali? msaada unahitajika hapa Ndugu zangu kuokoa jahazi la mahaba...
Tafuta pesa.ukipata mpige chini🙄🙄
Jamani nimepatwa na mtihani ati nasema nampenda kila siku, lakini nashindwa kumsaidia wakati huu anahitaji msaada wangu zaidi? mapenzi gani haya''! nashindwa hata kumnunulia Samsung galaxy tuweze kuwasiliana whatsapp nashindwa kumpa hela ya shopping kama wenzie wanafanya shopping zizou fasion mlimani city yeye shopping yake machinga complex tuu, ati Mimi mwanaume gani mwanaume suruali? msaada unahitajika hapa Ndugu zangu kuokoa jahazi la mahaba...
sio saizi yako tafuta wa machinga complex mwenzako
sio saizi yako tafuta wa machinga complex mwenzako