Jamani nimepatwa na mtihani ati nasema nampenda kila siku, lakini nashindwa kumsaidia wakati huu anahitaji msaada wangu zaidi? mapenzi gani haya''! nashindwa hata kumnunulia Samsung galaxy tuweze kuwasiliana whatsapp nashindwa kumpa hela ya shopping kama wenzie wanafanya shopping zizou fasion mlimani city yeye shopping yake machinga complex tuu, ati Mimi mwanaume gani mwanaume suruali? msaada unahitajika hapa Ndugu zangu kuokoa jahazi la mahaba...
Kweli mkuu. Waacheni wafu waazike wafu wenzao. Lakini wanawake bwana hawaeleweki mbona kuna wengine wanatoa wao hela kwa wanaume?
Ukinitajia umri wako nitakupa solution ya kudumu na hautosumbuliwa tena na mwanamke yeyote until u rest to the grave yard.
mkuu mapenzi na PESA yanahitaji umri mkuu??
Mpeleke kwa Mwema..umekwiba maneno yangu nilitaka kusema ivo ivo
Kuachana na mapenzi? ivi limekutoka tu au ilikusudia?Ukitaka uishi kwa furaha achana na mambo ya mapenzi. Ukishazoea utaenjoy sana. Mia
Ukitaka uishi kwa furaha achana na mambo ya mapenzi. Ukishazoea utaenjoy sana. Mia
Kwa hyo unataka tukuchangie ama??
nipe namba yake nimrushie M-PESA au TIGOPESA akafanye shopping