Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

wana MMU habarini? nimesoma post nyingi sana za wadada humu naona kweli walio wengi wanapenda wanaume wenye pesa tena nyingi. Najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu pesa nyingi call it Richness as Lara1 puts it, ni kiasi gani?

Hii ni tabia ya kikahaba

Hawa hawataki tu kufanya kama wale wenzao

uwezo wa kununu gari? kujenga nyumba? kusustain maisha ya kila siku kula, kuvaa na pa kulala? mi naomba nieleweshwe.

Hawawezi kukuelewesha kwa kuwa hawaridhiki

Halafu wana sifa moja ya uvivu na kutokuwajibika kwao wenyewe

Wanatafuta mwenye hela ili awajibike kwa niaba yao

Mwanamke anaewajibika na kujitambua hawezi kutafuta na kumsaka mwanaume mwenye hela wa nini????

Kama hela anazo,yeye atatafuta MWANAUME TU!!!!!!!!

Since mi nikiwaza hela haziji siku moja, kwa nini ninyi mnapenda ready made? halafu hizo pesa nyingi zinakula nini? maana kama ni nyama au kuku au sausages, hauhitaji pesa nyingi sana kuviafford. Kama ni nguo unataka ununue ya milioni? maana nguo pia sio hela nyingi kihivyo.

Hawa hawaridhiki mama

Wana ka tabia ka kufuja sana hela

Ndo maana mwanaume akiwa na hela watamsaka kwa gharama yoyote ile

Pia wana ka tabia ka kutojiheshim

Mtu anaejiheshimu hawezi kuzitamani hela za mtu mwingine

Hawa ndo wale wanaoua waume zao ili warithi mali!!!

My take: be serious with a relationship, mali zinakujaza tena siyo ghafla, ni polepole. halafu wewe pia una mikono miwili kama mwanaume unaweza tu kuchangia familia yenu kunyanyuka kiuchumi, stop wanting vitu vya dezo. na pesa ni pesa tu, regardless iko ngapi, na ikitafutwa kihalali, inakujaga tena yenye amani na upendo.

Hwa hawapo kwaajili ya mahusiano

Wanahitaji hela tu

Utapoteza muda wako kukimbizana nao

We tulia tu ule maisha na mumeo dada yangu!!!!!!!!!
 
HASWAAAAAAAAAAA MY MDOGO NDO HIVYO NA WALA HUJAKOSEA,ILA WAELEWE KUWA TAMAA MBELE MAUTI NYUMA :rip: :rip: :rip: :rip:.
wanalitambua hilo ila tu wanakamsemo kao 'ajali kazini' ndicho kinachowafariji....
 
hawana lolote hilo wanalisemaga tu wakiwa waizima ila yakishawakuta ndio wanaanza kusema laiti ningejua!!!!!!!!!!kwani we huonagi watu wanavyoshoboka na ukimwi eti oohhh ni malaria tu siku hizi,ila wakishaanza kuvishwa nepi ndo hapo ninge huwa haziishi.
wanalitambua hilo ila tu wanakamsemo kao 'ajali kazini' ndicho kinachowafariji....
 
wana MMU habarini? nimesoma post nyingi sana za wadada humu naona kweli walio wengi wanapenda wanaume wenye pesa tena nyingi. Najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu pesa nyingi call it Richness as Lara1 puts it, ni kiasi gani? uwezo wa kununu gari? kujenga nyumba? kusustain maisha ya kila siku kula, kuvaa na pa kulala? mi naomba nieleweshwe. Since mi nikiwaza hela haziji siku moja, kwa nini ninyi mnapenda ready made? halafu hizo pesa nyingi zinakula nini? maana kama ni nyama au kuku au sausages, hauhitaji pesa nyingi sana kuviafford. Kama ni nguo unataka ununue ya milioni? maana nguo pia sio hela nyingi kihivyo.
My take: be serious with a relationship, mali zinakujaza tena siyo ghafla, ni polepole. halafu wewe pia una mikono miwili kama mwanaume unaweza tu kuchangia familia yenu kunyanyuka kiuchumi, stop wanting vitu vya dezo. na pesa ni pesa tu, regardless iko ngapi, na ikitafutwa kihalali, inakujaga tena yenye amani na upendo.

^^
Asante kwa kuleta mada,,ngoja nisome coments kwa uangalifu
^^
 
Mapenzi na pesa...
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1379231134268.jpg
    uploadfromtaptalk1379231134268.jpg
    7.4 KB · Views: 562
Kakutana na kicheche......Aisee wanakula si mchezo hawa wadudu....unaweza usiambulie chochote lakini duka likafirisika.... Wee acha tu
 
mmmh!dats truely. no money no love, no money no true XFRND, mapenz yanaweza vunja milma but pesa inavunja vyote, hayana umr hayo.
 
eeeh bwana nipo maeneo ya boko kuna msichana mmoja ana boyfriend kimsingi ni mchumba wake na jamaa ana pesa ana masters ya eng. anakofanya kazi ni siri yangu huyu mwanamke kapangishiwa nyumba nzima anapewa kila kitu na kila mwisho wa mwezi anapewa laki 6 ya matumizi ndani ana asset zote za muhimu na jamaa anampenda sana huyu girl bt cha kushangaza huyu demu anasema hampendi sana huyu jamaa yuko nae coz ya hela tu ila yeye anampenda sana boyfriend wake wa zamani japo hana kitu lakn huyu jamaa mwenye pesa wakati mwingine huwa hatamani hata kumuona hampendi SASA WAKUU MAPENZI NI PESA AU NINI? NB:true story
 
^^
Kuna Mapenzi halafu kuna PENZIPESA..hawa ndugu wawili ambao mmoja ni mtoto wa mama kambo.
^^
 
eeeh bwana nipo maeneo ya boko kuna msichana mmoja ana boyfriend kimsingi ni mchumba wake na jamaa ana pesa ana masters ya eng. anakofanya kazi ni siri yangu huyu mwanamke kapangishiwa nyumba nzima anapewa kila kitu na kila mwisho wa mwezi anapewa laki 6 ya matumizi ndani ana asset zote za muhimu na jamaa anampenda sana huyu girl bt cha kushangaza huyu demu anasema hampendi sana huyu jamaa yuko nae coz ya hela tu ila yeye anampenda sana boyfriend wake wa zamani japo hana kitu lakn huyu jamaa mwenye pesa wakati mwingine huwa hatamani hata kumuona hampendi SASA WAKUU MAPENZI NI PESA AU NINI? NB:true story

Mapenzi sio pesa, ila pesa ni shock absorber, ni muhimu ikawepo.
 
pesa ni manukato ya penzi, ni ashiki katka penz. LAKINI pesa sio penzi.
 
pesa ni kila kitu bro, usijidanganye kama wewe ndo mpenzi wake wa zamani mbona kakutosa? Na bado anajilazimishja kuwa na hyo jamaa na anaweza akamhamisha akampangishia kwingine au akampeleka London. Penzi na Pesa vyote muhimu maana ukitoa pesa penzi haba tatizo na ukijikunja na penzi huna kitu watakulia mpaka wauza magenge
 
Kila goti litapigwa mbele ya pesa... na ukigoma kuipigia goti utakufa njaa na umaskini...
Cash rules everything.
 
Laki 6 tu?mwambie aongeze dau huyo Engineer uone atapewa hadi 0713 ,unacheza na chapaa wewe,
Every man with man is handsome

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
pesa ni kila kitu bro, usijidanganye kama wewe ndo mpenzi wake wa zamani mbona kakutosa? Na bado anajilazimishja kuwa na hyo jamaa na anaweza akamhamisha akampangishia kwingine au akampeleka London. Penzi na Pesa vyote muhimu maana ukitoa pesa penzi haba tatizo na ukijikunja na penzi huna kitu watakulia mpaka wauza magenge

acha ujinga wewe mbona mjuaji ww mi nimetoa true story ya mtu mwingine kabisa na nilchokiandka kanisimulia demu mwenyewe na kwa taarifa yako anampango wa kumpiga chini mshikaji arudi rasmi kwa ex wake kwani bado wanagegedana sana tu
 
Laki 6 tu?mwambie aongeze dau huyo Engineer uone atapewa hadi 0713 ,unacheza na chapaa wewe,
Every man with man is handsome

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

nadhani umekosea kidooogo
EVERY MAN WITH MONEY HIS HANDSOME
 
acha ujinga wewe mbona mjuaji ww mi nimetoa true story ya mtu mwingine kabisa na nilchokiandka kanisimulia demu mwenyewe na kwa taarifa yako anampango wa kumpiga chini mshikaji arudi rasmi kwa ex wake kwani bado wanagegedana sana tu

Mbona povu sasa? hiyo ya kumwacha ni story tu hawezi, ila ya kukuacha wewe ni true story kwa sababu alikuacha, chezea pesa. Jipange kaka utaiba mpaka lini na jamaa akikukuta anakupiga pisto ndo utaona tamu yako
 
eeeh bwana nipo maeneo ya boko kuna msichana mmoja ana boyfriend kimsingi ni mchumba wake na jamaa ana pesa ana masters ya eng. anakofanya kazi ni siri yangu huyu mwanamke kapangishiwa nyumba nzima anapewa kila kitu na kila mwisho wa mwezi anapewa laki 6 ya matumizi ndani ana asset zote za muhimu na jamaa anampenda sana huyu girl bt cha kushangaza huyu demu anasema hampendi sana huyu jamaa yuko nae coz ya hela tu ila yeye anampenda sana boyfriend wake wa zamani japo hana kitu lakn huyu jamaa mwenye pesa wakati mwingine huwa hatamani hata kumuona hampendi SASA WAKUU MAPENZI NI PESA AU NINI? NB:true story

wenye mapenzi ya kweli ni kama 10% tu,wengine ndo wale mkono mfupi haulambwi mkuu...
 
Back
Top Bottom