Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Nasubiri "money monger lady" Lara1 aje humu! teh! teh! teeeeh!! "NO MONEY NO HONEY!!"
 
acha ujinga wewe mbona mjuaji ww mi nimetoa true story ya mtu mwingine kabisa na nilchokiandka kanisimulia demu mwenyewe na kwa taarifa yako anampango wa kumpiga chini mshikaji arudi rasmi kwa ex wake kwani bado wanagegedana sana tu

Utani huo mkuu najua ni story ingekuwa wewe usingeileta kihivyo
 
yani PESA sasa ni mafuta ya kuendeshea MAPENZI!!!!!!!!!!!!!:smile-big:
 
acha ujinga wewe mbona mjuaji ww mi nimetoa true story ya mtu mwingine kabisa na nilchokiandka kanisimulia demu mwenyewe na kwa taarifa yako anampango wa kumpiga chini mshikaji arudi rasmi kwa ex wake kwani bado wanagegedana sana tu

Kuwa mpole mzee,mbona kama shell inapanda?
 
sasa huyo mpenzi wake wa zamani atamlisha mapenzi?? mapenzi hayawezi kulipa kodi au kutoa allowances kila mwisho wa mwezi.. ila pesa inaweza fanya yote hayo...ajidanganye na huyo x wake atajutia..ukweli utabaki kua pesa inanafasi katika mapenzi kwa 90% , 10% ni commitments tu baina ya pande mbili...
 
acha ujinga wewe mbona mjuaji ww mi nimetoa true story ya mtu mwingine kabisa na nilchokiandka kanisimulia demu mwenyewe na kwa taarifa yako anampango wa kumpiga chini mshikaji arudi rasmi kwa ex wake kwani bado wanagegedana sana tu

Mwambie yeye ni mali ya aliyempangishia nyumba, tena amwambie huyo xb wake kwamba ajue, siku atakapokamatiwa humo ndani ya huo mpangisho, hata yeye atatoa 0713. Tena bila ujanja wowote.
Kama anampenda huyo xb wake alipe alivyokula vya watu. Ndio maana watu wanakuwa machizi hivi hivi wakati kwao hakuna chizi.
Inavyoonyesha huyu bidada kwanza ni mvivu, hajui hata kusakanya hivyo anapoona anamlisha huyo xb wake jasho la eng. wake anadhani siku ataenda huko atampenda xb kama leo. Ni m.p.u.u.zi. huyu, atakapoomba hela ya mboga akose atamani kumsalimia eng. wake akute nyumba ina mpangaji mwingine ndo atalijua jiji.
Atulie na eng. tena akome kabisa kumwibia. Siku xb anatoka kwake ajue halalagi peke yake, kuna mchovu wake naye hulala kule. Ajiulize, wako wangapiiiii?
 
huyo dada ni dhiki ndio zinamfanya awe na huyo kaka akimuacha arudi kwa anayempenda atakakosa hela pesa imeshindwa kununua furaha yake.
 
mpenzi mwenye pesa mtamu sana yani!!! hebu nyie wanaume tafuteni pesa kwa bidii malalamiko yaishe.....
asiye fanya kazi na asipewe mahaba matam eenh ayasikie yako india tuu!!!
 
mpenzi mwenye pesa mtamu sana yani!!! hebu nyie wanaume tafuteni pesa kwa bidii malalamiko yaishe.....
asiye fanya kazi na asipewe mahaba matam eenh ayasikie yako india tuu!!!

Team Cash money!!!!
 
eeee Asprin njoo uone jamaa yako anavyoaibika humu jf
 
Last edited by a moderator:
Mmh, kuna mahali hata chokaa inadunda bwana. Hela hazijawahi kumsaidia ba mdogo wassira wala uncle pinda

ila zimemsaidia bamkubwa komba mtoto safiii kichuna nlitaka kumsahau boss wa IPP
 
Kuna micharuko inayopenda pesa na kuna wanawake wengine wanapenda kupendwa na kuthaminiwa.
 
eeeh bwana nipo maeneo ya boko kuna msichana mmoja ana boyfriend kimsingi ni mchumba wake na jamaa ana pesa ana masters ya eng. anakofanya kazi ni siri yangu huyu mwanamke kapangishiwa nyumba nzima anapewa kila kitu na kila mwisho wa mwezi anapewa laki 6 ya matumizi ndani ana asset zote aza muhimu na jamaa anampenda sana huyu girl bt cha kushangaza huyu demu anasema hampendi sana huyu jamaa yuko nae coz ya hela tu ila yeye anampenda sana boyfriend wake wa zamani japo hana kitu lakn huyu jamaa mwenye pesa wakati mwingine huwa hatamani hata kumuona hampendi SASA WAKUU MAPENZI NI PESA AU NINI? NB:true story

tatizo hapo ni master ya ingeneering wakati mshindani ana master ya roho. mungu hakupi vyote ujue. ushauri mwambie huyu msomi wa mitambo anitafute nitamwanzishia evining class za master ya mapenzi. kozi ya kwanza atapewa powerpoint ya kumkeep bize huyu mtoto akose muda wa kumwaza boyfriend wake wa zamani. wahindi na wachaga uwaga wanafungua duka, au kufungua shamba la kahawa mama anashinda huko mchana kutwa. lengo ni kumkosesha idle time kabsaaaaaa. kozi ya pili itahusu kumtekenya usiku hadi anapitiliza usingizi asubui. kozi ya mwisho inahusu kulea watoto wa kuwazaa karibukaribuuuu. no ide time...... af mwambie asichelewa ninazo nafasi chache sana hapa; darasa karibu linajaa....
 
Back
Top Bottom