Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

usipoteze muda wako maneno ya kina lara 1 yakuumize...
Ni vijibinti tu ambavyo hata ABC za ndoa havijui...
Watajifunza wakikua.
 
KUNA KANYIMBO FLANI KA ZAMANI.....shilingi mauwa....pesa mauwa,shilingi yauwa....eeeh
 
Ukaona unitaje kabisaaa! Lol! Kuepusha nisijihisi bali nijijue
 
Hahaaa! Its time i change my signatue. data unanibeep! Lol!

Actually it maycome as surprise but i second u bro! Every word u said is true. BUT NOT PRACTICAL! If ya a woman in ya 20s hela kihalali utapata jioni in ya 40s TIME FACTOR ISHAGOMBA!

Besides unachanganya i like rich who are generous! Sio coz you are rich basi sisikii sioni kwako! NOPE!
 
Last edited by a moderator:
royna, mimi sikuzote huwa niko kinyume na penzi la pesa, nimeona na kushuhudia matatizo lukuki yanaletwa na penzi la pesa. Kwa upande wangu huwa nawashauri watu waache na pia kutenganisha penzi na pesa ingawa sikatai kuwa saa nyingine pesa husaidia kujenga penzi zaidi hususan penzi linapotangulia pesa.

Lakini kwa hali ya sasa, wengine hutanguliza pesa zaidi, na kufuatia penzi. Ni kama penzi limegeuka biashara. System tuliyonayo leo ni kuwa huna pesa huna mpenzi, na pia hapendwi mtu inapendwa pesa! Ni system ambayo kwa sehemu kubwa imetuletea matatizo kwenye ndoa na mahusiano mengi na kuleta hali ya usaliti.

Lakini ndiyo hivyo kila mtu ana mtazamo wake juu ya hili suala. Ktk ishu hii ya mapenzi na pesa, let us allow the water to take its course!
 
Ni upuuzi tu wa wadada wajinga wajings...hivi mtu umesoma...unajimshahara lako la maana utaanza kuwaza pesa za mtu..nope ts all about love..hao wanaoweka pesa mbele ni umaskini watu na ulimbukeni...pesa kazijulia ukubwani cz akiwa mdogo hajawahi kupewa ht 100 ya kuchezea..so sharti atafute bwana mwenye hela/tajiri azitumbueeee..na wengi hawana mapenz ni pesa mbele...
 
Obagi,cl shoes,lv bags,shoppin millan,kupumzika magnolia,kula bata crenshaw,kupunga upepo hilton hotel,kutembelea seven fifty izy(BMW 750i),kuwa na mjengo ufukweni kunduchi/mbezi beach hautaki vyote hvyo?
 
Mnatunyanyasa tu kwani Mwenyezimungu alipoumba mapenzi aliumba na hela?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
MUNGU hakuumba mapenzi, aliumba mbingu na nchi na vyote vijazavyo (Mwanzo 1:1-3) .mapenzi ni hulka na mihemko yetu
 
royna ulichokisema kina ukweli ndani yake nami naomba nitoe hoja yangu kama ifuatavyo,

Pesa katika mapenzi ina sehemu ndogo tu ambayo ni kuwawezesha wapenzi kuafford maisha yao ya kila siku kama nguo,chakula ,malazi(basic human needs) na mambo mengine madogo madogo kama vile suprises za outings na vijizawadi zawadi ili kulitilia chumvi penzi lenu,na kama ulivyosema pesa halali huja yenyewe na kwa taratibu wala haihitaji haraka,na mara nyingi utajiri mwingi huja mara baada ya mwanaume kupata mwenzi mwerevu ambaye anaweza kumsaidia kutumia pesa vizuri na kusave na ndio maana kuna usemi usemao "BEHIND A SUCCEFUL MAN THERE IS A WOMAN BEHIND",usemi huu sio uzushi tu ni socially proved as mwanamke sikuzote amekuwa mtu ambaye hufikiria sana feature wakati wanaume ni watu wanaoangalia sana ya leo na feature haiwachukulii muda wao mwingi.


Angalizo kwa akina dada:Ukikuta mwanaume anaishi peke yake bila mke lakini amejikamilishia kila kitu ndani ana nyumba nzuri,gari,set nzuri ya vitu ndani mwake na vinginevyo vya thamani,shtuka washa taa nyekundu kichwani huo ni moto :A S-fire1: :A S-fire1: :A S-fire1: lazima atakuwa amewahi kuoa na kuacha na mke aliyemwacha ndiye aliyesaidia sana kufanya huyo mume akaitwa rich man,kwa hiyo hata wewe ujue kuwa iko siku utaviacha hivo vitu na mweznio mwingine atakuja na kuona amepata mwanaume tajiri.

Angalizo:simaanishi wanaume wote ambao hawajaoa hawana akili ya maisha,ila kiuhalisia ni one among twenty.

Swali kwa akina dada kama ungependa sana kuishi maisha mazuri kwa nini umtegemee mwanaume?kwa nini angalau usijitahidi sana na wewe pia uje uitwe rich woman kwa maarifa yako mwenyewe?ipi inaleta raha kuitwa a wife of a rich man au a rich woman


Jamani niko tayari kukosolewa kwa hoja niliyoitoa.


copy wadada wa jf including Heaven on earth mrs grafani11 Munkari Lady doctor mimisa,@Lara1 kubwa la maadui Richwoman sister.
maisha ya mapenzi hata siyaelewi....baadhi ya wanawake wanaona ili penzi liwe tamu na la furaha lazima huyo mpenzi wake awe na pesa ndipo mapenzi ayafurahie....
 
hapo ndipo mabinti wengi wanapokosea sana.
maisha ya mapenzi hata siyaelewi....baadhi ya wanawake wanaona ili penzi liwe tamu na la furaha lazima huyo mpenzi wake awe na pesa ndipo mapenzi ayafurahie....
 
hao ni maskini wa akili, wa mwili, na roho. ni wanawake wa kupotezea muda tuu, kamwe sio wife material. ukishambanjua unatupa kulee, unapunguza gharama. cheap pathetic little cunts!!
 
mmmhhh mdogo wangu we acha tu yaani ni hatari ila sasa mabinti wengi ndo hawasikii wala hawaoni kuhusiana na hilo,yaani ni majanga kwa ufupi tu.
kuiweka pesa kama furaha kwenye mapenzi.....zikipotea na furaha ya penzi hilo hupotea....anaanza kutafuta kwingine.....ni utumwa tu.....
 
hata mm nashangaa,wanatupasua kweli vichwa,watu mapata wendawazimu na kufilisika kwajili yao,sasa wao cjui huwa wanajiskiaje inapotea hivi,lakin wenyewe wanasemaga wajinga ndio waliwao,ukikomaa vzr unapga bila gharama,lkn sa inge na ss tunakoseaga approach tunayoingiaga,unatanguliza mkwanja mrefu tang siku ya kwanza unafkir atakuchukuliaje?ana kuchuna tu.So take from the first day
 
mmmhhh mdogo wangu we acha tu yaani ni hatari ila sasa mabinti wengi ndo hawasikii wala hawaoni kuhusiana na hilo,yaani ni majanga kwa ufupi tu.
Ni tamaa na mashindano ya kuwa na vitu vya gharama tena kwa muda mfupi..........ndivyo vinavyowasumbua....
 
HASWAAAAAAAAAAA MY MDOGO NDO HIVYO NA WALA HUJAKOSEA,ILA WAELEWE KUWA TAMAA MBELE MAUTI NYUMA :rip: :rip: :rip: :rip:.
Ni tamaa na mashindano ya kuwa na vitu vya gharama tena kwa muda mfupi..........ndivyo vinavyowasumbua....
 
Back
Top Bottom