Ni kweli kama tu utakuwa hujawahi kuziona za kutosha/au kipofu...vinginevyo unadanganya Jamii...Ndyo yapo tena sana tu
ndugu yangu mapenzi co pesa sawa,lakini yanaongeza bergaining position ya mtuKuna watu wanapendana bila pesa kuwa Na ushawishi ktk mahusiano yao!
Yaani wanaweza kuendelea kuwa Na mapenzi moto moto hata kama pesa imekata
Je hapa jf kuna wanawake ambao hawajawahi omba pesa kwa mwanaume?
DJ sepetu
ndugu yangu mapenzi co pesa sawa,lakini yanaongeza bergaining position ya mtuKuna watu wanapendana bila pesa kuwa Na ushawishi ktk mahusiano yao!
Yaani wanaweza kuendelea kuwa Na mapenzi moto moto hata kama pesa imekata
Je hapa jf kuna wanawake ambao hawajawahi omba pesa kwa mwanaume?
DJ sepetu
Mbit je
Fafanua mkuundugu yangu mapenzi co pesa sawa,lakini yanaongeza bergaining position ya mtu
Hata ya sabuni ya kuogea huwapi duMimi huwa sitoi hela, ni swaga tu na papuchi wanatoa, naghalimikia nyumbani ya wenyeji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwape ya nini wakati mi mwenyewe sabuniHata ya sabuni ya kuogea huwapi du
DJ sepetu
Ya kujiswafi kule ulipochafua?
Watasema una biasharaMimi Pesa Kwanza Maongezi Baadae (Money first)