Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,804
- 44,580
Ana manisha hata kama ukiwa na kibamia lakin unapesa hakuna kesMkuu unamaanisha nini picha ya pili
Ana manisha hata kama ukiwa na kibamia lakin unapesa hakuna kesMkuu unamaanisha nini picha ya pili
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Katika maisha yetu ya kila siku mchawi mkubwa sana ni pesa, huyu pesa wala hajatoka kwa bwana bali yeye katoka kwa kaisari.
Mwanaume hata kama ukiwa jeusi na sura mbaya kama ya mbwa lakini ukiwa na pesa utapata mademu wakali kinoma tena matata sana na utasikia kutoka kwa mademu wakikusifu mwanaume pesa sura ya ni sasa.
Kwa kifupi pesa ndo dawa ya mademu.
Hivyo hivyo kwa mwanamke mwenye pesa hata kama akiwa na matiti kama ndala na kapigwa pasi atapata mwanaume smart kuanzia kichwani, rohoni hadi mwilini, huo ndo ukweli mazee mwanamke mwenye pesa hutafuta mwanaume anayemtaka yeye mwenyewe hata kama awe ana miaka 19 au awe ana miaka 25 hata kama yeye huyo mwanamke atakuwa na miaka 50.
Na mwanamke mwenye pesa hupata raha yote anayoitaka kutoka kwa wanaume maana wanaume hujituma sana ili wasiachwe
Pesa ndo dawa
Pesa ndo sabun ya roho
Uchawi wa pesa katika mapenz ni noma.
Tutafuteni pesa masela ili tuje tumiliki wachuchu wakali
Mayweather ana watt wazur saba b'se he is tritillionare
Ndo najua leo mkuuwee unajua leo
Hakika wanena vyemaPesa ina nafasi yake kwenye mapenzi
Hilo halina ubishi bibiePesa Dawa ya Penzi.
Kweli aiseeHilo halina ubishi bibie
Yeah mkuuHakika wanena vyema
Pamoja sana kamandaYeah mkuu
Aisee mbona umeandika kireno kwa ufasaha sanaShikamoo dinheiro
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Katika maisha yetu ya kila siku mchawi mkubwa sana ni pesa, huyu pesa wala hajatoka kwa bwana bali yeye katoka kwa kaisari.
Mwanaume hata kama ukiwa jeusi na sura mbaya kama ya mbwa lakini ukiwa na pesa utapata mademu wakali kinoma tena matata sana na utasikia kutoka kwa mademu wakikusifu mwanaume pesa sura ya ni sasa.
Kwa kifupi pesa ndo dawa ya mademu.
Hivyo hivyo kwa mwanamke mwenye pesa hata kama akiwa na matiti kama ndala na kapigwa pasi atapata mwanaume smart kuanzia kichwani, rohoni hadi mwilini, huo ndo ukweli mazee mwanamke mwenye pesa hutafuta mwanaume anayemtaka yeye mwenyewe hata kama awe ana miaka 19 au awe ana miaka 25 hata kama yeye huyo mwanamke atakuwa na miaka 50.
Na mwanamke mwenye pesa hupata raha yote anayoitaka kutoka kwa wanaume maana wanaume hujituma sana ili wasiachwe
Pesa ndo dawa
Pesa ndo sabun ya roho
Uchawi wa pesa katika mapenz ni noma.
Tutafuteni pesa masela ili tuje tumiliki wachuchu wakali
NANYUPU HIM SELF
LONDON BABY
Najua kidogo cha kuombea maji😉Aisee mbona umeandika kireno kwa ufasaha sana
poaPamoja sana kamanda
Nije unifundisheNajua kidogo cha kuombea maji😉
Hakuna noma
Wewe tu ila sasa mwalimu mwenyewe nipo busyNije unifundishe