Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
..ni afadhali umwage chozi kwenye bmw kuliko kumwaga chozi kwa mwendesha mkokoteni...
Unfortunately hii philosophy wadada wengi wa kileo hasa kutoka pande za Africa wameamua kuiadopt.
..ni afadhali umwage chozi kwenye bmw kuliko kumwaga chozi kwa mwendesha mkokoteni...
Nini maana ya haki sawa? We umeona kuna usawa gani hapo?Asili ya mwanaume anatakiwa afanye majukumu yt ya kifamilia
Kwan hujawai ona masikin kapata tajiriiiSisi nasi hatuwezi kuchukua mwanamke Masikini na Mjinga kaa ukijua.
Masikini Kwa masikini, na Mjinga Kwa Mjinga.
Mwenye pesa Kwa mwenye pesa,
Mwerevu Kwa mwerevu.
Ndege wafananao huruka pamoja.
Kila mtu atapata wa kufanana Naye.
Hivyo hata wanaume hatufuati wanawake wenye shida Mkuu.
Endelea kuwadanganya wenzako hapo tuwachezee lakini wakuolewa ni wengine wenye angalau kimshahara cha Laki 5 kama cha Mwalimu.
Nyie wengine mtabaki kuwa Watazamaji katika dunia hii.
Wapo kila kona
Napingana na we we asilimia 100 mapenzi hayana formula vijana mmepotoka sanaaaSisi nasi hatuwezi kuchukua mwanamke Masikini na Mjinga kaa ukijua.
Masikini Kwa masikini, na Mjinga Kwa Mjinga.
Mwenye pesa Kwa mwenye pesa,
Mwerevu Kwa mwerevu.
Ndege wafananao huruka pamoja.
Kila mtu atapata wa kufanana Naye.
Hivyo hata wanaume hatufuati wanawake wenye shida Mkuu.
Endelea kuwadanganya wenzako hapo tuwachezee lakini wakuolewa ni wengine wenye angalau kimshahara cha Laki 5 kama cha Mwalimu.
Nyie wengine mtabaki kuwa Watazamaji katika dunia hii.
Pale ambapo muda wa kutaka kuolewa umefika lkn kila ukipiga picha huoni mwanga, unabaki ktk cross road ya makanikia, kati ya wanaume walionacho na wasionacho ilhali ww binafsi hunacho zaidi ya kikojoleo bapa, utazeekea kwenu au uendelee kupokea rose za masharobaro .
Ila kiukweli kabisa... Zama hizi mapenzi bila pesa siyo mapenzi...
Siyo tu mwanamke atakusumbua bali hata, mwanaume mwenyewe utakuwa mnyonge... Utajikuta mwanaume ukiwa ukweli kwenye jambo dogo unaona kama unadharauliwa...
Alafu unajua mwanaume ukiwa na pesa kwenye mapenzi mwanamke hakusumbui.. Atakuvumilia kwa kila hali...
Cc: mahondaw
Lakini umenisoma namaanisha nini super dear.... pesa hizi lakini mmhmmhmmh..
Ngoja nipite miyeeee sitii neno
Lakini umenisoma namaanisha nini super dear...
Japo maisha siyo kutesa kila siku... Il Pesa ndiyo kila kitu...Nop Sijakuelewa baby!
Japo maisha siyo kutesa kila siku... Il Pesa ndiyo kila kitu...
Nilikutana na dada wa kinigeria ana mentality hiyo, ana watoto wawili kila mtoto na baba yake akimsaka mwenye pesa amuoe.Unfortunately hii philosophy wadada wengi wa kileo hasa kutoka pande za Africa wameamua kuiadopt.