Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Apo nakushauri kimbia,anataka kukuchuna uyo nanaona kama dhamira yake inataka kutimia flani ivi.we piga chini mbona warembo kibao tu tanzania hii.sema nakusifu kwa roho ngumu kama paka shume, yani vijembe vyote alivyokupa bado upo? kweli binadamu hatufanani
 
Anazihurumia hela za ampendae kwa dhat na anaona za asiempenda zipo nje nje.Mdada anatumia fursa vizur
 
wewe mwite guest aje achukue ela ila tafuta guest nzuri ya bei ghari iliyopo pembeni kabisa na mji . KWa kuwa anapenda ela atakuja tu akija mmbake kwa sababu hamna nyingine na hawezi kukushtaki huko pembezoni MA mji alifuata non kama sio umalaya wake wa kula vya watu

Hehehe huu ushauri nimeupenda
 
bora ww mie pesa yangu kala baada ya kuona blaah blaah nikampotezea nikashukuru pia nikamsamehe khee! kila nikionana nae ananichukia na pesa yangu ameshakula sasa na shangaa kosa langu lipi na histoshe pesa angu ameshakula .
 
bora ww mie pesa yangu kala baada ya kuona blaah blaah nikampotezea nikashukuru pia nikamsamehe khee! kila nikionana nae ananichukia na pesa yangu ameshakula sasa na shangaa kosa langu lipi na histoshe pesa angu ameshakula .

Umekosea, umemkatia mrija wa pesa gafla sio vizuri ndio maana akikuona anakasirika.
 
mblock tu ni njia nzuri

Mkuu ambock wa nini? He wants sex only. Kashaestablish hapo mwanzo. Na the way I see it huyu dada baada ya kusumbuliwa akashauriwa fursa hiyo, ndo anaanza kuitumia. Mbona naona kama business can still be done here. Kila mmoja ana potential ya kupata anachokitaka. Fanyeni tu biashara, ndo kilichobakia siku hizi coz no true love!
 
tumia na wewe hiyo fursa, mwulize ukimpa atakupa nini na yeye?
 
Comment Au Post Yako Moja Tu Humu Jf Inauwezo Wa Kutufanya Tujue Umri Wako, Si Lazma Ku Ask.
 
Pole mkuu huyo ni tapeli achana nae na ikiwezekana hata cm zake zinyutie. Ukijfanya wewe ndo wajua kuhudumia jua na virusi navyo vinahitaji damu yako. Kma utakuwa tyari nakushauri mkapime kwanza ndo ufidie hiyo cm utakayomnunulia. Tupa chini utampata aliye na upendo wa dhat!
Pole ya nini wakati huyu jamaa naye muhuni tu? Huoni jamaa anataka kufunua asepe? Hapo wamekutana wote matapeli wa mjini.
 
2 mia plan B ukishdwa niibox nikupe mbinu za kivita umle papuche kiulaini
 
Mkuu ambock wa nini? He wants sex only. Kashaestablish hapo mwanzo. Na the way I see it huyu dada baada ya kusumbuliwa akashauriwa fursa hiyo, ndo anaanza kuitumia. Mbona naona kama business can still be done here. Kila mmoja ana potential ya kupata anachokitaka. Fanyeni tu biashara, ndo kilichobakia siku hizi coz no true love!

jamaa hana nia ya kupiga kweli
 
Mtafune tu mkuu kama anashindwa kumwambia shida zake jamaa ake anayepiga mzigo ubalozi wa nyumba kumi kumi katika mtaa wa USA
 
Back
Top Bottom