Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,283
- 55,886
- Thread starter
- #661
Kuna mrembo mmoja nimemuona humu anazunguka zunguka tu na rasta zake; ebu zungumza naye jambo.Na mimi natamani sn nipate wa kutoka naye upweke umenizidia aisee.
Kuna mrembo mmoja nimemuona humu anazunguka zunguka tu na rasta zake; ebu zungumza naye jambo.Na mimi natamani sn nipate wa kutoka naye upweke umenizidia aisee.
siku hizi unasahahu sana mkuu 😅😅Katoto kapi tena mkuu🤣🤣🤣
Bado Cillah hawezi kukuelewa.
😅😅😅 wale wa nywele za vile huwa ni shida unaona kama yule Sophy wa amelowa amelowaa😀😀😀Wale huwa wana utamu wa kipekee
kakushika akili tayari 😅😅😅Utasubiri sanaaa🤣🤣🤣
Kusanyikeni group mkale RahaWenye hatuna wenzetu tunatokaje jamani
Babe achana huyo National Anthem. Come to bed love😘😘😘Katoto kapi tena mkuu🤣🤣🤣
Bado Cillah hawezi kukuelewa.
Sio akili tu na moyo, maini na kila kitu😂😂😂kakushika akili tayari 😅😅😅
Nakupenda sana mke wangu, una kila kitu changu🤣🤣Babe achana huyo National Anthem. Come to bed love😘😘😘
Unaonaje nikikukaribisha rafikiHunipendi mzabzab atanipasua kichwa😂😂🙌
Fisi kaanza mambo yake!!Unaonaje nikikukaribisha rafiki
Bora angekupasua kichwa tukajua kichwa kimepasuka, huyo ana mambo yake mengi...muulize National Anthem atakuambia🤣🤣🤣Hunipendi mzabzab atanipasua kichwa😂😂🙌
Sawa mkuu sina ajenda ya siriNaomba nikusaidie tumkaribishe wote mkuu, ili uaminike na kukubalika mkuu🤣🤣🤣