National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
😒😒😒 nipo dada bossDogo umefufuka?
😒😒😒 nipo dada bossDogo umefufuka?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nacheka kwa kujificha![]()
Walah hadi nimepaliwa maji yangu. Nilivyoona mention nikajisemea ohoooo kichambo kinanihusu, nikawa nawaza hili lizee langu lisilo na hela kayatindiganya wapi tena![]()




Rafiki mbona hunipi mualiko wakati niko hapa jirani yako!!!😒😒😒 nipo dada boss
Nikupe muariko wa kufa na njaaa 🤣🤣🤣🤣Rafiki mbona hunipi mualiko wakati niko hapa jirani yako!!!
Mzushi sana wewe!! Kwanza nina kesi na wewe😣Nikupe muariko wa kufa na njaaa 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Unique kwani hutaki kutoka na mimi tena?
Walah hadi nimepaliwa maji yangu. Nilivyoona mention nikajisemea ohoooo kichambo kinanihusu, nikawa nawaza hili lizee langu lisilo na hela kayatindiganya wapi tena![]()





Naaaaaam Auntie!!!!tunapata wapi auntie yangu
Mie huyu mtoto wa CBE first year nakuwa na case gani na watu wazito kama nyie mbona hatari hizi 😳😳😳😳 ulinitupa nimekupa namba ya wakala alafu ukanimwaga nililala njaaMzushi sana wewe!! Kwanza nina kesi na wewe😣
Hawara kama hawara🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenyewe nilicheka mno....
Nikajisemea hapa sasa nikae kwa kujibana..
Mzushi wewe.Mie huyu mtoto wa CBE first year nakuwa na case gani na watu wazito kama nyie mbona hatari hizi 😳😳😳😳 ulinitupa nimekupa namba ya wakala alafu ukanimwaga nililala njaa
😒😒😒😒 umenichoka kwa mala ya nne,Mzushi wewe.
Subiri nikuletee zawadi yako 😁😁Mzushi wewe.
Nataka zawadi yangu.Subiri nikuletee zawadi yako 😁😁
Goja kwanza nikapate chochote kitu hapo canteen , CA zimekaza sana