Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

😅😅😅 alafu ujue atafaidi sana, si umesikia watu wabaya tunakufa mapema, atakuja abaki na urithi wake kiroho safi na mie namrisisha kila kitu
Si ndio maana nilikwambia fanya namna tuwe marafiki mimi na yeye🤣🤣🤣

Nitamtafutia kijana wa kumtuliza ukishatangulia.
 
Si ndio maana nilikwambia fanya namna tuwe marafiki mimi na yeye🤣🤣🤣

Nitamtafutia kijana wa kumtuliza ukishatangulia.
😅😅😅 asiwe kijana wa hovyo, japo sitokuwepo ila apate kijana muadilifu ambae atamtuliza moyo kwa kuondokewa na mumewe ila asitoke tu humu JF maana humu watu ni visanga 😄😄
 
Back
Top Bottom