Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Dogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia![]()





Mimi mwenyewe mjanja....
Dogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia![]()





Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia🤣🤣🤣Unataka nifurumushwe na maneno siyo?
Na sign out!!!!
Hapana mkuu, nimesema tu kwa hiyo compliment uliyompa mimi siwezi sema lolote coz shem wangu sio kama namfaham kivile🤣Hahaha najua ushahudumiwa angalau chai nzito ndio maana ulimi mzito🤣
Sema Wallah!!!!!Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia![]()
Umeyatafuta!!Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia🤣🤣🤣
Hapana mkuu, nimesema tu kwa hiyo compliment uliyompa mimi siwezi sema lolote coz shem wangu sio kama namfaham kivile![]()




Kwani si huwa nachangia?🤣🤣Weeeee!!
Sijamaliza kuvunja vikoba vyote G...
Subiri kwanza![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hanaga baya huyuDogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia🤣🤣🤣
Ndio kitu gani?😄😄Sema Wallah!!!!!
Yani sikufahamu kivile, sikufaham wala. Labda ile selfie uliweka kipindi fulani umekaa kwenye kiti, kiti kikajaa hakikutosha...ile kumbukumbu haifutiki hata kidogo🤣🤣
Kivile iko aje hiyo?
Hahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..🤣🤣🤣We faller sikuwezi🤣🤣🤣
Yani sikufahamu kivile, sikufaham wala. Labda ile selfie uliweka kipindi fulani umekaa kwenye kiti, kiti kikajaa hakikutosha...ile kumbukumbu haifutiki hata kidogo![]()




Hahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..![]()




Ninakukubali unajua kuishi na watu sana mwambaHahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..🤣🤣🤣
Ukauza mechi🤣🤣🤣
Kile kipindi nilikuwa bado njuka humu...
Wallah shem ile selfie ikajaa kwenye kiti, nikajisemea huyu Mungu amembariki zaidi, ukajaza vile viti vya cello, unekalia juu juu...hivi unakumbuka nilikuambia eh🤣🤣🤣
Kile kipindi nilikuwa bado njuka humu...