Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi mwenyewe mjanja....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia🤣🤣🤣Unataka nifurumushwe na maneno siyo?
Na sign out!!!!
Hapana mkuu, nimesema tu kwa hiyo compliment uliyompa mimi siwezi sema lolote coz shem wangu sio kama namfaham kivile🤣Hahaha najua ushahudumiwa angalau chai nzito ndio maana ulimi mzito🤣
Sema Wallah!!!!!Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeyatafuta!!Nipo hapa hofu ondoa...nikisema shiiii bahari inatulia🤣🤣🤣
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hapana mkuu, nimesema tu kwa hiyo compliment uliyompa mimi siwezi sema lolote coz shem wangu sio kama namfaham kivile[emoji1787]
Kwani si huwa nachangia?🤣🤣Weeeee!!
Sijamaliza kuvunja vikoba vyote G...
Subiri kwanza[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hanaga baya huyuDogo anamendea umalizane na vikoba ili atoke Arusha kukusalimia🤣🤣🤣
Ndio kitu gani?😄😄Sema Wallah!!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani si huwa nachangia?[emoji1787][emoji1787]
Yani sikufahamu kivile, sikufaham wala. Labda ile selfie uliweka kipindi fulani umekaa kwenye kiti, kiti kikajaa hakikutosha...ile kumbukumbu haifutiki hata kidogo🤣🤣[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kivile iko aje hiyo?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndio kitu gani?[emoji1][emoji1]
Hahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..🤣🤣🤣We faller sikuwezi🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani sikufahamu kivile, sikufaham wala. Labda ile selfie uliweka kipindi fulani umekaa kwenye kiti, kiti kikajaa hakikutosha...ile kumbukumbu haifutiki hata kidogo[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninakukubali unajua kuishi na watu sana mwambaHahah, mkuu Maki aliweka selfie moja hadi leo ipo machoni..🤣🤣🤣
Ukauza mechi🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kile kipindi nilikuwa bado njuka humu...
Wallah shem ile selfie ikajaa kwenye kiti, nikajisemea huyu Mungu amembariki zaidi, ukajaza vile viti vya cello, unekalia juu juu...hivi unakumbuka nilikuambia eh🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kile kipindi nilikuwa bado njuka humu...