Utata wa Tomato

Utata wa Tomato

Wakuu hii issue sio lazima kuifuata..ni issue ya kunusuru vizazi vyetu sababu wakina anko T wamechachamaa na wawezeshaji wao...hivyo inawezekana kama mmoja alivyosema kua tomato tunazotumia ni low quality..or hiyo mambo wadau wanaongezea mazaga ili mikundu iwe speed ili ijisikie kuchabangwa...manake wahuni sio watu..nilisikia adi pafyumu
 
Habarini wanajukwaa,mimi ni kama mzazi nimeamua nilete jambo hili mbele yenu ili kila mmoja kwa mtazamo wake aweze kuokoa kizazi chake kutokana na mashoga

Mimi nitajikita kwenye suala moja; suala la tomato zinazowekwa kwenye chips. Ndiyo, tomato hizi hizi.

Nilikuwa na mtoto ambaye alikuwa anawashwa kwenye tundu la haja kubwa. Mwanzoni nilidhani ni minyoo, hivyo nikampa dawa mara kadhaa, lakini tatizo halikuisha. Lilikuwa linapotea kwa muda kisha linarudi tena.

Siku moja nilikwenda kumnunulia chips kwa sababu anazipenda sana, na dada wa kazi hakuwepo kumpikia. Nikiwa hapo, nikamsikia mteja mmoja akisema asiwekeewe tomato kwa sababu zinawawasha watoto tundu la haja kubwa. Nilishangaa kuona kwamba hata muuza chips alikuwa analifahamu jambo hilo na hakuliona kuwa la ajabu kama mimi nilivyoliona.

Nami nikawaeleza kuhusu tatizo la mtoto wangu, wakasema huenda chanzo ni hizo tomato. Kwa kweli mtoto wangu alipenda sana kula chips zenye tomato, hata kachori na tomato. Basi nikamzuia kula tomato kwa namna yoyote ile, na tatizo likaisha.

Sasa ikiwa ni kweli kwamba kuna nchi za nje zinazolazimisha nchi yetu kukubali ushoga, je, watu watafanywaje kuwa mashoga? What if kuna vitu vinawekwa hata kwenye vyakula ili mtu ajisikie kuwashwa na kubongolewa? Inawezekana yapo mengi, lakini hili ni moja ambalo tunaweza kuliepuka kwa kujihakiki wenyewe.

Asante.

Tanzania kwanza
Duu mkuu inasikitisha kwamba tomato znaleta hal yakutaka mwanaume kuingiliwa mbona bala kubwa hili
 
Back
Top Bottom