Utata wa Tomato

Utata wa Tomato

Mheshimiwa napenda kuchangia hoja iliyopo mezani kama ifuatavyo. kwa kitaaluma mimi si daktari wala sijawahi kuwaza kuwa daktari ila nina machache ya kusema.
ieleweke kuwa kuna sababu za kisayansi na kiutafiti zinazoeleza kwa nini sosi hizo husababisha hali hiyo:
  • ya kwanza uwepo wa asidi Nyingi (High Acidity): Nyanya hizi mnazotumia kiasili zina kiwango kikubwa cha asidi, na kwenye sosi za viwandani huongezewa siki (vinegar) ili zisiharibike. Asidi hii isipomeng'enywa kikamilifu tumboni, inapotoka wakati wa haja kubwa huwasha na kutesa ngozi laini na nyeti inayozunguka tundu la haja kubwa.
  • pili kuna issue ya vihifadhio na Viungo (Preservatives and Spices): Sosi nyingi za chips huwekwa kemikali za kuhifadhi chakula, rangi, na wakati mwingine pilipili au viungo vikali ambavyo husababisha mzio (allergy) au mwasho (irritation) kwenye mfumo wa mwisho wa haja kubwa, hasa kwa watoto ambao ngozi zao ni laini sana.
  • na tatu aina ya tomato Sosi (Local Processing): tomato Sosi nyingi zinazotumiwa kwenye maduka ya chips hupikwa kienyeji au kununuliwa kwenye madumu makubwa ambapo usafi au viwango vya kemikali vinavyowekwa havijathibitishwa, hali inayoweza kuongeza mwasho huo
  • Nb badili hiyo Id yako , imekaa kikuda sana.
Kutokana na I'd yake, mie najitolea kumpelekea kidumu cha lita 5 buuure
 
Habarini wanajukwaa,mimi ni kama mzazi nimeamua nilete jambo hili mbele yenu ili kila mmoja kwa mtazamo wake aweze kuokoa kizazi chake kutokana na mashoga

Mimi nitajikita kwenye suala moja; suala la tomato zinazowekwa kwenye chips. Ndiyo, tomato hizi hizi.

Nilikuwa na mtoto ambaye alikuwa anawashwa kwenye tundu la haja kubwa. Mwanzoni nilidhani ni minyoo, hivyo nikampa dawa mara kadhaa, lakini tatizo halikuisha. Lilikuwa linapotea kwa muda kisha linarudi tena.

Siku moja nilikwenda kumnunulia chips kwa sababu anazipenda sana, na dada wa kazi hakuwepo kumpikia. Nikiwa hapo, nikamsikia mteja mmoja akisema asiwekeewe tomato kwa sababu zinawawasha watoto tundu la haja kubwa. Nilishangaa kuona kwamba hata muuza chips alikuwa analifahamu jambo hilo na hakuliona kuwa la ajabu kama mimi nilivyoliona.

Nami nikawaeleza kuhusu tatizo la mtoto wangu, wakasema huenda chanzo ni hizo tomato. Kwa kweli mtoto wangu alipenda sana kula chips zenye tomato, hata kachori na tomato. Basi nikamzuia kula tomato kwa namna yoyote ile, na tatizo likaisha.

Sasa ikiwa ni kweli kwamba kuna nchi za nje zinazolazimisha nchi yetu kukubali ushoga, je, watu watafanywaje kuwa mashoga? What if kuna vitu vinawekwa hata kwenye vyakula ili mtu ajisikie kuwashwa na kubongolewa? Inawezekana yapo mengi, lakini hili ni moja ambalo tunaweza kuliepuka kwa kujihakiki wenyewe.

Asante.

Tanzania kwanza
Ndio maana wadau wengi wanataka wakunwe huko!!!??
 
1) PORN IS MAKING YOU GAY - (By Nate, Biblical Masculinity)


View: https://www.instagram.com/reel/DY0RzU2oX2G/?igsh=MThxeGlpY2E0cnprbw==


2) THE LONGER YOU WATCH PORN, THE MORE YOU ARE LIKELY TO TURN GAY


View: https://www.instagram.com/reel/DZn1aceqFmq/?igsh=MXV5Nm1sb2RtNmNicw==


4) Bila kusahua 80% of gay people were sexually abused wakiwa wadogo. Hiyo 20% tunawaachia hawa waangalia porn.

Wanajidai wamezaliwa hivyo mpaka umpate aliye mkweli aseme ukweli kuwa alikuwa abused.

Kama huyu, huyu hakuwa na nia ya kusema alikuwa abused, alianza kusema yeye karithi hiyo hali, kuendeleza story ndo ana hint kuwa aliwahi kuwa abused. I see this over and over again. Wanaoacha hiyo lifestyle wanasema ukweli.


View: https://www.instagram.com/reel/DZ3L1SzjRQ6/?igsh=MWg0eDEyY2NmOGE4OQ==


5) A moment of silence for the married women who's husbands sleep with men 🤢

Longer silence for married women who's husbands sleep with men and they know 🤢🤢

Hapa tupige kelele, married women who's husbands sleep with men and they know, and they have sons 😭. Eti na huyu she's staying for the kids 😂. Hii level ya upumbavu is just beyond me, i cant comprehend! ! !


Mimi sitoshangaa wewe uliyeleta hii mada kama una mke na watoto wa kiume tena wawili, tena una masters ya nje kabisa, na kazi wizarani na mkeo umemfungulia biashara (msomaji atumie hekima), unajifanya kuulizia tomato wakati wewe mwenyewe unajijua unalala na wanaume wenzio, utuambie tomato zinakuwashaga? Au kuwasha hao unaolala nao?


6) Homosexuality na Paedophilia (kubaka watoto) ni pua na mdomo.

Nachoona kwenye hii thread ndo hicho. Hatua moja kwenda nyingine.

Ndomana most huko mbele wenye akili timamu wanahangaika hawa wachezea vinyesi wanyang'anywe haki walizopewa za ku adopt watoto wa watu

(na haki za kutengeneza watoto lab kupitia IVF, watoto wanakosa kwa makusudi haki ya kuwa na mama),

maana a large percentage ya watoto wanaochukuliwa na hawa watu wanaishia kuwa sexually abused, Very sad,

ona haka ka mieizi kadhaa tu mpaka kamekufa 😫. Halafu yanavyojua kujifanya yana huruma / mastaarabu! ! ! ! !

This shit is just purely demonic may the Lord Come Soon and save us from these demons


View: https://www.instagram.com/reel/DZsdFJrlJxm/?igsh=MTB5ZHIybnBuMzVkOA==


View: https://www.instagram.com/reel/DZ4-e3zkdJn/?igsh=MW5kbGt0dDQ4eHB2OA==


COME LORD JESUS! ! !

JESUS IS LORD!

MAKE WAY FOR THE KING OF KINGS! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Habarini wanajukwaa,mimi ni kama mzazi nimeamua nilete jambo hili mbele yenu ili kila mmoja kwa mtazamo wake aweze kuokoa kizazi chake kutokana na mashoga

Mimi nitajikita kwenye suala moja; suala la tomato zinazowekwa kwenye chips. Ndiyo, tomato hizi hizi.

Nilikuwa na mtoto ambaye alikuwa anawashwa kwenye tundu la haja kubwa. Mwanzoni nilidhani ni minyoo, hivyo nikampa dawa mara kadhaa, lakini tatizo halikuisha. Lilikuwa linapotea kwa muda kisha linarudi tena.

Siku moja nilikwenda kumnunulia chips kwa sababu anazipenda sana, na dada wa kazi hakuwepo kumpikia. Nikiwa hapo, nikamsikia mteja mmoja akisema asiwekeewe tomato kwa sababu zinawawasha watoto tundu la haja kubwa. Nilishangaa kuona kwamba hata muuza chips alikuwa analifahamu jambo hilo na hakuliona kuwa la ajabu kama mimi nilivyoliona.

Nami nikawaeleza kuhusu tatizo la mtoto wangu, wakasema huenda chanzo ni hizo tomato. Kwa kweli mtoto wangu alipenda sana kula chips zenye tomato, hata kachori na tomato. Basi nikamzuia kula tomato kwa namna yoyote ile, na tatizo likaisha.

Sasa ikiwa ni kweli kwamba kuna nchi za nje zinazolazimisha nchi yetu kukubali ushoga, je, watu watafanywaje kuwa mashoga? What if kuna vitu vinawekwa hata kwenye vyakula ili mtu ajisikie kuwashwa na kubongolewa? Inawezekana yapo mengi, lakini hili ni moja ambalo tunaweza kuliepuka kwa kujihakiki wenyewe.

Asante.

Tanzania kwanza
Chai
 
Back
Top Bottom