Nasikia sababu ilikuwa mauaji ya januari 26 na 27 kule Zenji.
Ndio inavyosemwaHata mimi niliskia maneno kama hayo.....kwamba ngoma ilikuwa inakwenda mahakani
afu ndyo.......file roading..................
Karibu nyumbani kunenoga aisee .Wasalimie duniani huko.Ndiyo mkuu nilipita pale . Nimepamiss sana mazingira yale. One day I will be back in my motherland country.
Boyz2men ni akina nani hao, msaadaMkuu hivi hata wewe hujui uhusika wa boys2Men? Basi ulikua mtoto.
Mi nafikiri ni kukazia maada kuu tu mkuu, coz ya ulinganifu wa matukio, ni vile wawapo majwani ya kisiasa huchomekea vifungu vya bible japo si kanisaniMada Moja munaingiza Mada zingine kwa nini?
Sasa hivi yuko wapi kaka wanamlaaani kishenziOmariii alii jumaaa(RIP) umemwacha mkapa na naniii Jana tulikuwa nawe baba!!!
Mashairi ya marehemu Captain John Komba
Yule makamu nilikuwa nampenda sana
Kwanza alikuwa anawananga wanaimani wenzake wapeleke watoto shule wapate ilimu dunia waache kulialia. Enzi zile ngangari na ngunguli heheheheh.
Daaah R.I.P baba
Hizo codes kijana acha kuchimba mambo mazito kama hujui code tafuta dictionaryNmesoma thread yote, ila kuna kitu kipya nmekiona naomba mwenye uelewa anisaidie au atusaidie tusiojua.
Kwanini boss mkubwa wa miaka 10 aliepita Msanii Mwanauchumi msomi anaitwa KHALFAN?
HahahaHizo codes kijana acha kuchimba mambo mazito kama hujui code tafuta dictionary
tusichoke kuwaelimisha wananchi, taratibu mpaka wote waeleweWananchi wakiamua watapata katiba yao pale ambapo wataamka kutoka usingizini . Watu wanahisi kudai katiba ni suala la Mbowe na Hashim Rungwe hilo ni suala la wote hata kwa sisi diaspora .
When we will change our minds and attitudes tutapata katiba siyo hicho cha chama kimoja.
hahahaHuu uzi naona watu wanafunguka kwa mafumbo tu yaan utafikir tunasoma ufunuo
halafu auawe kwenye nchi ya watu, pangetosha kweli?!Kwanini m7 alikuwa target!???
Naomba ujitahidi mkuu utupe ama utuandalie story ya no.3 (1996). tafadhaliHakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana