Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mara baada ya muungano was Tanganyika na Zanzibar na kuzaa Tanzania...mchonga aliweka watu huko Zanzibar was kuhakikisha Zanzibar inakuwa sikivu kwa Tanzania ..kwa maana ya viongoz was Zanzibar wafate kile walichokubaliana....karume baadabya kusaini na kuukubali muungano alibain kuwa amesain kitu kilichomtolea meno yote..hana maamumz kwa mambo mengi..akachukia akaanza vijimaneno maneno vyabkutaka kuuvunja muungano..
Vijana was mwl wakawa wanareport kila kitu hapo magogoni na wengi waliokwenda huko walijihusisha na uvuaji was samak Bahrain lakn kumbe wako kazin...
Siku moja mwl akaamuru vikos toka Zanzibar viende Mozambique kwenda kusaidia kupigana vitavya kudai Uhuru was nchi hiyo..kumbuka tz ilikuwa mstari was mbele katika kuosaidia Mozambique..
Karume aliposikia kuwa mwl ametoa order ya wanajeshi toka Zanzibar wamepanda boti kuelekea DSM kisha waende Mozambique ..akampigia sim mwl na kumwambia kwa mini unachujua wanajeshi wangu kwenda vitan bila ridhaa yangu?..Luna majibizano yalitokea na ndipo karume akaamuru not hiyo irud Zanzibar Mara moja..mwl alichukia sana..ikizingatiwa kuwa karume alishaanza vijimaneno meno vyabkuuvunja muungano...ndipo wale vijana walioko Zanzibar wakapewa ujumbe uliohifadhiwa ndani ya yai kisha yai likawwkwa ndan box na juu box likafunikwa na gift paper na kwenda zenji kama zawad...maandaliz yakaanza na hatimae karume akarejeshwa kule ambako huwa hawarud....
...........
Wakat akisherehekea miaka 75 ya kuzaliwa kwake..alimiminiwa wine aipendayo ndani ya glass na kugonga cheers na wageni waalikwa.baada ya cheers ile mwl akanywa wine ile funds tatu na ile Mara ya tatuwakat anatoa glass kinywan aliinua glass kwa juu akawa anaangali wine iliyobaki ndan ya glass kisha akaiweka mezan..
Tayar huko nyuma miezi minne iliyopita mwaka huo 1996 kuelekea 1997alikuwa amepiga kelele sana juu ya nia ya serikali ya kuiuza bank ya NBC....
Mwl akamwita mkapa msasan...mkapa akaenda akiwa amelewa chakali..akamkuta mwl akiwa amepumzika...mwl akapelelekewa taarifabkuwa mh yuko hapa..mwl akashuka akitokea chumban..kabla hajashuka ngaz zote alitupa jicho kwa mkapa na akamuona mkapa akiwa amelewa chakari..mwl hakuongea akarud chumban nakusema hawez kuongea na mlevi..mkapa akaondoka...
Kesho take kama kawaida mwl akaenda miss ya asubuhi hapo st peter..na Mara baada ya miss akaenda kwa kadinali pengo..ndan ya of is akaionga pengo,mwl,msaidiz was mwl na msaidiz was pengo...mwl akiwa na huzun nyingi akamwangalia msaidiz was pengo huku mwl akilia machozi na akimwambia pengo nimekuja ili uende ukamwambie kwa mini amekja kwangu akiwa amelewa namna ile nimemkosea mini?.pengo alijibu kwa kingereza akasema ..mwl I will work on it..kisha akasema kwa kiswahili nitakwenda Leo join na nitafikisha ujumbe..mwl akaaga akaondoka..
Kesho yake na hats kabla hajapewa mrejesho na pengo mwl akaenda ikulu bila taarifa..akapokelewa na wasaidz was rais..ratiba ya rais wakat huo alikuwa na ugen toka umoja was mataifa..msaidiz mmoja akaenda akamwambia mkapa..mwl amekuja yuko hapo koridon amesimama anahita kukuona..mkapa akaomba udhuru kwa wagen akaenda kumuona mwl..na ndipo mwl akamwambia ..Ben kwa nn ulikuja kwangu ukiwa umelewa..kwa nn unataka kuiuza NBC...nilikuamini sana ila umeniangusha mno malizia miaka iliyobaki ukapumzike nchi ataishika mwingine...mkapa hakujibu neno mwl akaondoka..
Kilichofuata mwl aligundulika na leukemia...akalazwa st Thomas tena general Hosp...halio yake ikazolota na mkapa akitokea uswis akapita London kumjulia halo mwl na tens hakuingia chumban alikolazwa mwl Bali alimwangalia militia kwenye kiooo na kuondoka..alipofika DSM akautangazia umma kwa kusema ..mwl is recovering very slowly..hatimae nae akarejeshwa Kule kule wasikorud October 14..lait kama angejua ile wine asingeinywa siku ile ya birthday yake.

..............
Dr omali Ali juma in kama mmoja alivosema hapo juu juu ya kubadilishwa mic na sio chakula lakini inteligensia ya Tanzania nayo ilikuwa inajua fika kuwa siku hiyo ni siku ya mwisho kwa Dr juma...kulikuwa na mambo mengi yanaendelea chini kwa chini yaliyokuwa yakiratibiwa na dr ali bili ridhaa na baraka za wakubwa....
.....
Wako wengi wameondolewa kama vile
Komba
Kolimba
Mgina(wazir wa fedha)
Jb belmonte
Amina chifupa
Balali
Sokoine..na wengine wengi tu..
Mkuu umeelezea vilivyo.
 
Kuna rafiki yangu moja wakati nasoma shule ya upili Ilboru alikuwa anawahi sana kanisani (kumbuka ndani ya shule kuna kanisa la kkkt as long as shule ilikua ya walutheri kabla aijataifishwa) akajibu kuwa yeye ni kama zakayo anataka amuone Yesu ili amfariji na kumuombea baadae

Jamaa alikuwa TO kwani alinunuliwa na watu wa Feza yupo Uturuki huko mwanangu sana uenda tukakutana hapa Moscova mwakani. Alimaanisha vitu vingi sana , eleweni hivyo hivyo.

Samahani kwa maneno mengi bt you seemed to have signs of my friend I mentioned above. Keep it up dude.
Nawewe ni wa kitei mkuu?
 
Nmesoma thread yote, ila kuna kitu kipya nmekiona naomba mwenye uelewa anisaidie au atusaidie tusiojua.
Kwanini boss mkubwa wa miaka 10 aliepita Msanii Mwanauchumi msomi anaitwa KHALFAN?
 
Mwinyi nae alikuja kuwaachia huru waliotaka kumpindua Nyerere kwahio alichofanya chato man siyo ngeni katika siasa za huko nchini . Swali la msingi je walitenda hilo kosa ?

Waziri wa kidiplomasia nchini kwa wakati alisema atahakikisha familia ya Nguza Viking inafia jela akatafuta na wanaharakati za haki za kibinadamu jamaa akapelekwa pale Ukonga . Ila sababu kubwa mcongo huyo aliingilia maslahi ya mtalii huyo aliedumu kwa muongo moja kama boss wetu.

Alichokosea mzee alitaka kumpitia na mke wa pm wa kipindi hicho ndo mana ilipokuja kudakwa pm alimuambia huyo kanali kuwa we mpeleke tukichanganya na rushwa na msosi waliopigwa wale madogo hapo sinza wakatunga uongo eti wameliwa tigo labda waliwachanganyia bangi za kapachino.

Babu seya yupo huru ila afya na maisha ya jela life span imeshadorora.
Kwa awamu hiyo pm walikuwa wawili kwa hiyo hapa unamuongelea wa kaskazini ama wa kusini?
 
Back
Top Bottom