T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,516
Huo huo\Usalama wa nchi au usalama wa Chama ?
Huo huo\Usalama wa nchi au usalama wa Chama ?
Plz andika bhana tupate mastoryYametimia yote yalioandikwa humu though kutokana na majukumu ya dunia hii korofi but ipo siku ntaandika vizuri tena kuhusu Boyz 2 men.
Ona mwehu huyuHivi jamani Rostam nchi hii ndo kaizira kabisa? Ila ushindi wa boys2men ndo ulikua ushindi wa Tanzania zidi ya mfumo Kristo!! Ila ndo vile tena!!
Ona mwehu huyu
Bibi akoMama’ko
Meno yakeKwanini Nyerere mnamuita Mchonga?
AmesharudiIna maana unaweza kukuta mamvi yupo kwenye kazi maalumu baadae arudi nyumban?
Amesharudi
Hahaha...mkuu, hope you're doing fine. Kuhusu issue ya "Segerea sheli Oilcom" hii ni serious security breach..Kikubwa zaidi tuendelee kumshukuru ikibidi kumchangia gharama za uendeshaji boss Maxence Melo ili Jf iendelee kutuhabarisha mengi ambayo hatuyajui .
Jf inatusaidia kupata habari za huko nyumbani utafikiri tupo Segerea sheli Oilcom wakati tupo huku. Long Live Jf.
Mgimwa's son ni nani sasa hivi?hivi wana familia wanaposoma au kugundua kuwa baba yao "aliharakishwa" hakuna wa kufikiria kulipiza kisasi? au ndio maana hawapewi nafasi ya kuwa viongozi wakubwa wasije kuingia ndani ya system na kufanya yao?
Wanaangaliwa ktk jichola hali ya juu sana, mara nyingi huwa wanawekewa inzi ili wasije wakachafua hali ya hewa ama kupindua mezahivi wana familia wanaposoma au kugundua kuwa baba yao "aliharakishwa" hakuna wa kufikiria kulipiza kisasi? au ndio maana hawapewi nafasi ya kuwa viongozi wakubwa wasije kuingia ndani ya system na kufanya yao?
Kila baada ya miaka 50Huu uzi unanza kunitisha hivi kuuliza sio ujinga wajameni hivi Tanzania tuna muda gani wa kisheria kuruhusiwa kutoa classified information kwenye public domain ?
Sheria yenyewe tunayo kweli ?
Ohoooo!!!Alternative story ya kukatwa kwa Edo July 2015
30/12/2005 – JK alimteua Edo (Mlutheri) kuwa Waziri Mkuu. This was nothing new as Fredrick (Mlutheri) alishakuwa PM for 10 years. JK alitaka Edo (Mprotestanti) awe mrithi wake wa urais. JK alidhamiria hivyo huku akijua kwamba system ya TZ huwa haipendi kua na rais Mprotestanti. 26/6/2006 - JK...www.jamiiforums.com
Tulia mremboAseee
Mamvi bhanaTutatoka kwenye mada mkuu ila ukweli ndio huo ! Wote waliokuja na jamaa wengi wamerudi nyumbani kwao wakapokelewa tena na halaiki. Kama una macho nadhani unaona.