Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Mnapenda kufukua makaburiKumbukizi
Mnapenda kufukua makaburiKumbukizi
namba 3 ipo humu mkuuNaomba ujitahidi mkuu utupe ama utuandalie story ya no.3 (1996). tafadhali
Shukran mkuu, nimeionanamba 3 ipo humu mkuu
pamojaShukran mkuu, nimeiona
Mkuu funguka kuhusu kupasuka kwa maitiSi hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.
Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Mnapenda kufukua makaburi
Labda boys 2 man wanahusika,nadhani ilikuwa ktk harakati za uprezidaa wa 2005-2015.Nadhani ilikuwa zamu ya Znz kutupatia Jiwe upande huo,sema kulikuwa na watu wamejipanga kwahiyo wakaharibu mpangilio mzima na utaratibu woote,na madhara yake mpaka sasa tunayaona.So instead ya Dr.OAJ tukampata Dr.JK,baada ya hapo mfumo ukaharibika mpaka sasa mambo hapo hamirojo,tumempata Jiwe wa Chato(although yeye IPO sawa mana ilikuwa nafasi ya bara 2015-2025).Ishu ilichafuka 2005-2015.Kuna nn nyuma yake mpaka ili kusudiwa mpemba adedi..alikwa ameyumba wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Short but great analysation,,japo hatwezi sema Ni jibu sahihi Sana..Labda boys 2 man wanahusika,nadhani ilikuwa ktk harakati za uprezidaa wa 2005-2015.Nadhani ilikuwa zamu ya Znz kutupatia Jiwe upande huo,sema kulikuwa na watu wamejipanga kwahiyo wakaharibu mpangilio mzima na utaratibu woote,na madhara yake mpaka sasa tunayaona.So instead ya Dr.OAJ tukampata Dr.JK,baada ya hapo mfumo ukaharibika mpaka sasa mambo hapo hamirojo,tumempata Jiwe wa Chato(although yeye IPO sawa mana ilikuwa nafasi ya bara 2015-2025).Ishu ilichafuka 2005-2015.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimsahau kifo cha Nyerere 1999 nae ilikuwa ni utata. Sababu kubwa inasemekana ilikuwa ni ubinafsishaji na uuzwaji wa migodi ya dhahabu. Mkapa inasemekana is responsible for the death of Nyerere.Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Aliyeandika 4/7/2001 nafikiri yuko USA maana wanaanza na mwezi, siku, mwakaMbona kama kaandika tar 4/7/2001 na sio tar7/4/
Hii mpya, itabidi ushushe maelezo mwanana mkuu ili bongo zetu zipate chakula kijulikanacho kama maarifaUlimsahau kifo cha Nyerere 1999 nae ilikuwa ni utata. Sababu kubwa inasemekana ilikuwa ni ubinafsishaji na uuzwaji wa migodi ya dhahabu. Mkapa inasemekana is responsible for the death of Nyerere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
7+4=11.Hiyo namba 11 ina siri kubwa wale wanaobudu shetani.Lakini pia tarehe 4 July ndio siku ya Uhuru wa Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yametimia yote yalioandikwa humu though kutokana na majukumu ya dunia hii korofi but ipo siku ntaandika vizuri tena kuhusu Boyz 2 men.
Yametimia yote yalioandikwa humu though kutokana na majukumu ya dunia hii korofi but ipo siku ntaandika vizuri tena kuhusu Boyz 2 men.
Nalisubiri hilo andiko mkuuYametimia yote yalioandikwa humu though kutokana na majukumu ya dunia hii korofi but ipo siku ntaandika vizuri tena kuhusu Boyz 2 men.