Kumbe nawe ni jitu la ovyo kama huyu mpuuzi Gwajima?Tunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P
Kumbe nawe ni jitu la ovyo kama huyu mpuuzi Gwajima?Tunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P
Tunasubiria na kesho tunasali Ufufuo na UzimaMtazame na msikilize mwenyewe ktk video hii. Yeye kauita huu wa kesho kuwa ni "msimamo juu ya msimamo"...
Hii ndiyo sauti ya "Jitu la Mbinguni" iliayo nyikani kusema itengenezeni njia ya Bwana maana ufalme wa na upo duniani...!
Video na sauti yake itafuata........
Mlimwambia Abubakar hivyo hivyo now mnaenda kugaragara ubalozi wa USA aachiwe. Mnapenda kuwajaza watu upepo wakipata matatizo mnaanza kuandika vihashtag vyenu na kupitisha mabakuliAskofu Rashid Gwajima anasema kesho analipua bomu la Nuclear,nchi itasimama na wa kumgusa hakuna. Gwajima kanyagia hapo hapoooo asikutishe mtu wewe una watu.
Tuliza kijambio dogo huu mchezo tuachie wanaume tuucheze.Mlimwambia Abubakar hivyo hivyo now mnaenda kugaragara ubalozi wa USA aachiwe. Mnapenda kuwajaza watu upepo wakipata matatizo mnaanza kuandika vihashtag vyenu na kupitisha mabakuli
Sasa kama hayati mzee baba alishatuasa chanjo hazifai na akasema nireteeeni gwajima, sisi ni nani hadi tumpinge gwajiboy kwa maneno ya kwenye kanga................kumbuka mzee wetu wa msoga alishatuasa 'za kuambiwa changanya na zako' iweje iwe nongwa watu wanapoamua kuchanganya akili za kong'ota na mbayuwayu...
gwajima ndio mfano wa yale majinga yanayosema hayawezi kuongozwa na mwanamke
Pasco utaenda Ufufuo na Uzima kama muumini au mwanahabari kufuata habari ?Tunasubiria na kesho tunasali Ufufuo na Uzima
P
Unajua wewe jamaa ni mjinga sana.hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Labda humjui gwajimaKokote ulipo mh.Rais Samia mnyooshe huyo Kibwetere ukimuacha atakuchezea sana,anakudharau kwa sababu wewe ni mwanamke.
Hii ni demokrasia mzee baba mbona bagonza na shoi walikua wanaishona sana awamu iliyopita na walipeta tu, acheni kujifanya miungu bana.Mlimwambia Abubakar hivyo hivyo now mnaenda kugaragara ubalozi wa USA aachiwe. Mnapenda kuwajaza watu upepo wakipata matatizo mnaanza kuandika vihashtag vyenu na kupitisha mabakuli
Usije shangaa akapiga bonge la U -TURN, kuwa alinukuliwa vibaya!!hivyo chanjo ni salama kabisa, na yeye yupo tayari kuchanjwa!!nina imani kuna yanayoendelea huko nyuma ya pazia toka alipotoa msimamo wake, kutokana na matamko ya chama chake.Tunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P
Kwenye Jicho letu ndani ya habari mbona hujasema hili?..umesema tumsikilize Amiri Jeshi mkuu?.Tunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P
ALSO ON RT.COMhii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Anaijua vema demokrasia na matumizi yakeAskofu Rashid Gwajima anasema kesho analipua bomu la Nuclear,nchi itasimama na wa kumgusa hakuna. Gwajima kanyagia hapo hapoooo asikutishe mtu wewe una watu.
Ataongea na familia yake wasio wanafamilia watasikilizia madirishaniLabda kama wanamtuma wao kesho akiropoka atajuta maishani...
Mwanaume gani lioga hivyo, unajificha kwenye ki-itel hichoTuliza kijambio dogo huu mchezo tuachie wanaume tuucheze.
Naona unachochea kuni? 😁😁😁Jamaa alikuangusha Kawe huyu. Anyway namsifu Gwajima sababu ni mtu dhabiti. Wanaume huwa tuna misimamo siyo wafuata upepo. Hapo nimemkubali. Na chuki,wivu nmeweka pembeni....😂😂😂 Sisi tunamsikiliza mwakilishi wetu.Tunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P