Huyu naye alimtukana nani? Kwa sasa mmepeleka wapi?Wasifikiri kwakua Ney katolewa jela wakajua nao wataachwa watukane wanavyojickia
Mwalimu tupe tofauti ya hayo maneno au na wewe ni mhusika Wa kumteka?Soma vizuri post ya Prof Jay.
Mmiliki wa studio ni junior makameMoni n msanii...jof rader ndio mwenye studio kituu kaa hyoo
kweli kabisa, kama juhudi iliyopo ya kumtafuta Ben Saanane.Naona watoa comments Karibu wote tuna mawazo kuwa Roma na wenzako wamechukuliwa na Serikali kitu ambacho ni hisia tu kisa Roma ana nyimbo za kuikosoa Serikali.
Jamani tuache huu mzaha ktk maisha ya watu kwani kuna wahalifu wanaweza kutake advantage ya UJINGA wetu kila anayepotea au kutekwa kufikiria ni Serikali wakati huna hata ushahidi wowote then wakafanya mengi mabaya kwa faida zao.
Hili tuliachie mamlaka husika watupe nini kilitokea na juhudi ni zipo za kuwatafuta.
Siku nyingine msirudie kuwapigia kuraHivi kura tuliwapigia kwa amani mbona malipo ndio haya jamani hayo mambo tulizoea kuyaona kwa wasomali huko na alshabaab yao miungu watu tutakufa sote ni swala la mda tu watangulizeni wenzenu zamu yenu yaja kutwa makanisani kumbe mbwa mwitu wakubwa [HASHTAG]#free[/HASHTAG] roma
Wewe nawe, kiki tena!? kuna tofauti kubwa sana kati ya Roma na Harmorapa...Hii ya mbona mimi naona kama imekaa kiki kiki hivi au wadau mnaonaje maana haieleweki
Roma atafute kiki?
Makonda ndio atueleze kawapeleka wapi ao watu.maana yeye ndio kapewa kazi na magufuli yakuvamia studio.
kweli kabisa, kama juhudi iliyopo ya kumtafuta Ben Saanane.Naona watoa comments Karibu wote tuna mawazo kuwa Roma na wenzako wamechukuliwa na Serikali kitu ambacho ni hisia tu kisa Roma ana nyimbo za kuikosoa Serikali.
Jamani tuache huu mzaha ktk maisha ya watu kwani kuna wahalifu wanaweza kutake advantage ya UJINGA wetu kila anayepotea au kutekwa kufikiria ni Serikali wakati huna hata ushahidi wowote then wakafanya mengi mabaya kwa faida zao.
Hili tuliachie mamlaka husika watupe nini kilitokea na juhudi ni zipo za kuwatafuta.
watahamia kwa mtu mmoja mmojaWakitoka kwa wasanii wanaenda wapi sasa? maana huku walisha pita
-Wafanyabiashara
-Vyombo vya habari
-Upinzani
-
-
-
HahaaaNi watu wa bashite mwambieni mange kimambi awachambe watarudisha wenyewe