Utata juu ya mwanaJF Ontario

Utata juu ya mwanaJF Ontario

Nilimfatilia ontario kabla hata ya forex kipindi cha kupiga mil 19 kwenye trekta
Ufugaji wa kuku n.k

Ni kijana mdogo kwa umri ila ndo anakimbizaa watu wazima
Kama huwezi pambana nae basi ungana nae
Anatumia maneno makali muda mwingine na yenye kuudhi mnoo
Anamajivuno na kebehi ila ndio mapungufu yake
Ama ndio sawa kwake
But all in all
Kama huna unachokipata kutoka kwakwe unfollow him

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya vitu vilivyonifanya kuielewa (kuvipenda/kuvutiwa navyo) sana JF miaka ya 2017 ni Ontario na Forex. Sema tu hyo issue nlikuwa naiona JF tu na nlikuwa guest.
Na me nimiongoni nilio jiunga JF kwa asababu ya Forex 2017, may. Ontario ndiye aliye nimotiveti ila soon watu walivyo anza kulalamika nikaacha kumfuatilia nikawa na pambana na hali yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ukiingia unakua kama mfuasi wa kibwetere,sijui wanapewaga nini.

Naishiaga kuwaona huko Mitandaoni na hashtag zao za kitajiri tajiri.

#MONEY MAKER

#CASH IS KING

#CASH MONEY

#BEST BRAIN MONEY FLOWS

#CRIBS #LAMBORGHIN #MASERATI #BIMMER

Nawacheki tu nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.


dodge
Ukipitia post zao Unaweza ukajiona lofa wa mwisho kabisa duniani😂😂😂
 
Write your reply...Hv matajir Wa forex hawajaanza jenga viwanda watuajir maana Hall tete na Sera za kaya ni vwonder
 
Nilimfahamu kijana machachari Ontario way back 2017 jf paka Leo kupitia uzi wa forex nilimfuatilia sana nikamfollow Instagram yake sure aliniinspire vibaya sababu nililuwa na akili kama yake nilipenda ujasiriamali japo serekasi ni nyingi akaja na story ya kusisimua akijinasibu angefanya mapinduzi na vijana wawe financial Independent kwel akapania akaja na TMT kwa mbwembwe pale Jangid Mimi ni mtu wa kusoma gap hahahah nikasema wacha nione wanafunzi wake watatokaje na matokeo then nami nijongee.

E bana mambo yakaanza utam nikajipa mda kidogo gafla mambo yakabadilika TMT ikaanza kuyumba na kupotea kabisa malalamiko yakawa mengi kila MTU na lake Mara hvi Mara vile nikajipenyeza kwa wanafunzi wake kujua nini kinaendelea wakasema wanapiga mpunga nikawaomba wanipigishe nikiwapima kwamba Niko mtupu kabisa kwa forex hahahah wakasema wanapiga hela balaa ohhhh wanajenga na blabla kibao wakanipa appointment na Kunitaka nipay dola 500+ .most of them(nimegeneralize maelezo ya hawa machali that's why nimetumia wa) nikiwazoom hawaendani na kuingiza pesa ndefu anyway tufupishe nikawaacha na habar ya forex niliweka pending huku nakula msuli taratibu sitaki shida na MTU soon naelekea kuwa vizuri nimepiga msuli since 2018 hahahhaha.

Yule yule kijana Ontario akaja kusema about forex kwamba hawez kupiga chaki kufundisha forex wakati alise.a before hakuna cha kumzuia hapa kuna utata kweli RELAX hivi sasa SIR JEFF DENISS kaja na PESASHIP akijinasibu kuhakikisha anasaidia vijana wengi kujikwamua na yeye kuwabeba vijana kumi watengeneze 100 million by December 2020 huku akilipisha tsh.40,000 samahani kama nitakuwa nimekosea au imepanda au imeshuka vijana wengi wakijinasibu kupata mkombozi.

Utata ulipo why serekasi mara forex(TMT) Mara pesaship au forex IPO ndani ya pesaship yajayo yanafurahisha kweli au ni janja za hapa mjini,
AU Ontario ana mipango hafifu zaidi anashindwa kuimplement anachokusudia au kuna figisu juu yake au anafanya uhuni maswali ni mengi mana naona kawa hovyo siku hizi to be honest nilimkubali sanaaaa naona kama kajawa na kiburi japo ni nature yake na kuringisha mafanikio yake kwa wale wanaomfuatilia Instagram yake wananipatapata nachoongelea au ni mkurupukaji.

All in all ni mpambanaji ni mfano wa kuigwa hahahahah anatumia maneno makali ili awape hasira watu ya kupambana japo wengine wanakuwa wanyonge ontario huende yupo huku na anasoma kwa I'd nyingine nimewaza tu.

N.b vijana pambaneni msitegemee mshikwe mkono ukipewa direction vimba kivyako by any means asp. Wasomi hawa wamekuwa hovyo siku hz bora wasio na shule kupigwa ni wao tu na majority waalimu Mara deci,Aim,forever, hawa wa SAA million 5 (Q net) n.k Fikirieni Bandugu Tz watu wanageuzana fursa na mitaji
Forex is real....learn and do urself

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Ontario ndio binadamu pekee niliyemuwashia notification IG.

2)Ontario ndio kiumbe pekee nikiambia ni-unfollow wote nakubakisha mmoja atabaki yeye.

Ifahamike mpaka nikuwekee mtu notification ujue kuna kitu Extra-Ordiinary.



Sent using Jamii Forums mobile app
kuna tatizo sana na upeo wa watanzania mi namwekea notification mo dewji na jeff bezo we unamwekea tapeli ontario...kweli kuna kitiu hakiko sawa kwetu
 
kuna tatizo sana na upeo wa watanzania mi namwekea notification mo dewji na jeff bezo we unamwekea tapeli ontario...kweli kuna kitiu hakiko sawa kwetu
Punguza kamasi kichwani mwako

MO alisoma IST, kuachiwa maBillion aendeleze babako amekuachia shingapi.

Bezos aliepewa Billion 1.5 na wazazi wake kuanzisha Amazon, alikuwa na Computer na Access ya internet akiwa na miaka 9 tu kipindi ambacho kumiliki Compute ndoti uwe na ukwasi mkubwa...babako anauwezo wa kukupa Billion, Umemiliki computer ukiwa na umri gani, kwenu kuna garage ya magari even hata Paso babako anayo.

Ujui nini maana na kujifunzia IDIOT, kujifunzia ni kuangalia mtu aliyetoka ZERO mpaka 10 aliyetoka familia kama yako.

Wewe unamuweka MO anaelipiwa ADA ya 70M babayako hata ada ya chuo alikwambia ujilipie mwenyewe na Boom huna akili wewe au kamasi kichwani.


IDIOT Mo..Jeff Bezos Hell unaishi Mabibo mwisho macho yawazazi yote yanakuangalia uwasomeshe wadogo zako unaandika mashundu hao watu hawajui hata shida ni nini na inafananaje then unaaandika upimbi hapa.


HELL

Portfolio | 2020
 
Punguza kamasi kichwani mwako

MO alisoma IST, kuachiwa maBillion aendeleze babako amekuachia shingapi.

Bezos aliepewa Billion 1.5 na wazazi wake kuanzisha Amazon, alikuwa na Computer na Access ya internet akiwa na miaka 9 tu kipindi ambacho kumiliki Compute ndoti uwe na ukwasi mkubwa...babako anauwezo wa kukupa Billion, Umemiliki computer ukiwa na umri gani, kwenu kuna garage ya magari even hata Paso babako anayo.

Ujui nini maana na kujifunzia IDIOT, kujifunzia ni kuangalia mtu aliyetoka ZERO mpaka 10 aliyetoka familia kama yako.

Wewe unamuweka MO anaelipiwa ADA ya 70M babayako hata ada ya chuo alikwambia ujilipie mwenyewe na Boom huna akili wewe au kamasi kichwani.


IDIOT Mo..Jeff Bezos Hell unaishi Mabibo mwisho macho yawazazi yote yanakuangalia uwasomeshe wadogo zako unaandika mashundu hao watu hawajui hata shida ni nini na inafananaje then unaaandika upimbi hapa.


HELL

Portfolio | 2020
MANENO MENGI YANAZIDI ONYESHA UWEZO WAKO MDOGO WA KUFIKIRI.

ENDELEA KUA NA HAYO MAWAZO MGANDO UTABAKI HAPO HAPO.

WASWAHILI WANASEMA
"IF YOU ARE BORN POOR IT’S NOT YOUR MISTAKE, BUT IF YOU DIE POOR IT’S YOUR MISTAKE"

Kama thats your ***..g mentality basi kila mtoto wa tajiri angekua billionea...msome JEFF BEZZO kwe The Everything Store Fuatilia historia ya MO DEWJI toka finding a family billion to trillion,msome ELON MUSK,STEVE JOBS,SAM WALTON....siwezi sikiliza ujinga wa mpigaji ONTARIO hana tofauti na kina this so called motivation speakers maneno miingi mwisho wa siku mkiingiaga king ndo mnapigwa.The only difference between D9,FOREVER LIVING,MR KUKU, and ONTARION is the product but same style

And yeah your right IDIOT i was born and raised in mabibo mwisho ulizia eneo la safara,am mlate twenty a manager in prestigious bank,all my family and parents are doing good living in my own house and having a stable income and business.

So who da fu..ck are you to judge how i was raised....IF YOU THINK SMALL YOU WILL REMAIN SMALL FOR LIFE STUPID
 
MANENO MENGI YANAZIDI ONYESHA UWEZO WAKO MDOGO WA KUFIKIRI.

ENDELEA KUA NA HAYO MAWAZO MGANDO UTABAKI HAPO HAPO.

WASWAHILI WANASEMA
"IF YOU ARE BORN POOR IT’S NOT YOUR MISTAKE, BUT IF YOU DIE POOR IT’S YOUR MISTAKE"

Kama thats your ****..g mentality basi kila mtoto wa tajiri angekua billionea...msome JEFF BEZZO kwe The Everything Store Fuatilia historia ya MO DEWJI toka finding a family billion to trillion,msome ELON MUSK,STEVE JOBS,SAM WALTON....siwezi sikiliza ujinga wa mpigaji ONTARIO hana tofauti na kina this so called motivation speakers maneno miingi mwisho wa siku mkiingiaga king ndo mnapigwa.The only difference between D9,FOREVER LIVING,MR KUKU, and ONTARION is the product but same style

And yeah your right IDIOT i was born and raised in mabibo mwisho ulizia eneo la safara,am mlate twenty a manager in prestigious bank,all my family and parents are doing good living in my own house and having a stable income and business.

So who da fu..ck are you to judge how i was raised....IF YOU THINK SMALL YOU WILL REMAIN SMALL FOR LIFE STUPID
Stay away from my way...GO AND GET FU... BY THOSE BILLIONAIRE.

Don't qoute me IDIO.

Portfolio | 2020
 
Anasema hafundishi forex kwa sasa ila naona jana tu alijaza ukumbi kiingilio 45k sasa sijui anafundisha nini huko.

Sijui anatumia njia gani kiusahihi kutoboa ila anaonekana mpambanaji ni mfano kwa vijana kwa upande mwingine.
Kuna insta story aliweka screenshots ya kupondwa huku akasema yeye alishaachaga kuingia JF.
 
Anasema hafundishi forex kwa sasa ila naona jana tu alijaza ukumbi kiingilio 45k sasa sijui anafundisha nini huko.

Sijui anatumia njia gani kiusahihi kutoboa ila anaonekana mpambanaji ni mfano kwa vijana kwa upande mwingine.
Kuna insta sory aliweka screenshots ya kupondwa huku akasema yeye alishaachaga kuingia JF.
Pia watu wanaweka screenshot za post zake za IG huku wakisema hawamfatilii.

Maisha

Portfolio | 2020
 
Go eat Ontario diK you small minded diK riding mafaka maybe you will sustain that ,,1.5
 
Nimeangalia pdf ya T.T.T najua hata kuona vijana kwa kama chambooo. Yanii ni sawa wewe ni beginner una attend seminar unaambwa forex usikate tamaa una lipa unasepa.

Hata nikiweka pdf yake hapaa kwa mzoefuuu ni nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasema hafundishi forex kwa sasa ila naona jana tu alijaza ukumbi kiingilio 45k sasa sijui anafundisha nini huko.

Sijui anatumia njia gani kiusahihi kutoboa ila anaonekana mpambanaji ni mfano kwa vijana kwa upande mwingine.
Kuna insta story aliweka screenshots ya kupondwa huku akasema yeye alishaachaga kuingia JF.
Ontario bana anafurahisha just imagine anasema amefanya 45k kama offer tu kwenye program ya pesaship gharama nyingine atatoa mfukoni kwake ikimaanisha 45k haitoshi kucover program uwiii huyu muuaji shenz type then kapata watu 500+ * 45,000 kapiga zaidi ya 22M ukitoa ukumbi na chakula kwa vijana anakunja kama 18M bila jasho hapo anakwambia nimejitolea for free
 
Back
Top Bottom