Utata juu ya mwanaJF Ontario

Nimeangalia pdf ya T.T.T najua hata kuona vijana kwa kama chambooo. Yanii ni sawa wewe ni beginner una attend seminar unaambwa forex usikate tamaa una lipa unasepa.

Hata nikiweka pdf yake hapaa kwa mzoefuuu ni nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee hio TTT pdf mkuu tuone
 
Nimeangalia pdf ya T.T.T najua hata kuona vijana kwa kama chambooo. Yanii ni sawa wewe ni beginner una attend seminar unaambwa forex usikate tamaa una lipa unasepa.

Hata nikiweka pdf yake hapaa kwa mzoefuuu ni nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo upuuzi kweli yaani unalipa hela unaenda kupewa morali,mizuka na kujazwa moyo then unasepa du huu ni uzwazwa
 
Nimeangalia pdf ya T.T.T najua hata kuona vijana kwa kama chambooo. Yanii ni sawa wewe ni beginner una attend seminar unaambwa forex usikate tamaa una lipa unasepa.

Hata nikiweka pdf yake hapaa kwa mzoefuuu ni nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu, hiyo strategy yake ni nyeupe vibaya mno na ndio huwa inanipa doubt za hizo screenshot ambazo anatuma kwenye social networks kuwa anamake hundred thousand kwa kutumia hiyo strategy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa unajua njisi ya kununua hisa ?
Unajua njisi ya kuinvest kwenye bitcoin?
Dunia imebadilika sasa hivi mtu hutakiwi kusave tena ni muda kuwekeza utawekezaje kama hujui njisi ya kununua hisa

Mimi nikimfatilia Ontario nabeba elimu ya kuwekeza njisi ya kuinvest
Kuelewa njisi ya kununua hisa

Unaweza kununua hisa leo kwa $1500 baada ya miakaukapata $ 15000 hii pesa si nyingi Mkuu ukichomoa $ 12000 alafu akanunua hisa tena za $ 3000 baada ya miaka mitano tena ukivuna $ 20000 ujatoboa life tu Mkuu

Sio jamaa anafundisha tu forex hata kununua hisa ni elimu nzuri sana matajiri wote wananunua hisa hii ndio elimu bora


Ila wabongo wanasema Ontario tapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa unajua njisi ya kununua hisa ?
Unajua njisi ya kuinvest kwenye bitcoin?
Dunia imebadilika sasa hivi mtu hutakiwi kusave tena ni muda kuwekeza utawekezaje kama hujui njisi ya kununua hisa

Mimi nikimfatilia Ontario nabeba elimu ya kuwekeza njisi ya kuinvest
Kuelewa njisi ya kununua hisa

Unaweza kununua hisa leo kwa $1500 baada ya miakaukapata $ 15000 hii pesa si nyingi Mkuu ukichomoa $ 12000 alafu akanunua hisa tena za $ 3000 baada ya miaka mitano tena ukivuna $ 20000 ujatoboa life tu Mkuu

Sio jamaa anafundisha tu forex hata kununua hisa ni elimu nzuri sana matajiri wote wananunua hisa hii ndio elimu bora


Ila wabongo wanasema Ontario tapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hisa zinapanda tu hazishuki? Afu hisa gani za kibongo zipande kwa kasi hivo. Hakuna kampuni ya kuleta innovation hapa.
 
Mtoa unajua njisi ya kununua hisa ?
Unajua njisi ya kuinvest kwenye bitcoin?
Dunia imebadilika sasa hivi mtu hutakiwi kusave tena ni muda kuwekeza utawekezaje kama hujui njisi ya kununua hisa

Mimi nikimfatilia Ontario nabeba elimu ya kuwekeza njisi ya kuinvest
Kuelewa njisi ya kununua hisa

Unaweza kununua hisa leo kwa $1500 baada ya miakaukapata $ 15000 hii pesa si nyingi Mkuu ukichomoa $ 12000 alafu akanunua hisa tena za $ 3000 baada ya miaka mitano tena ukivuna $ 20000 ujatoboa life tu Mkuu

Sio jamaa anafundisha tu forex hata kununua hisa ni elimu nzuri sana matajiri wote wananunua hisa hii ndio elimu bora


Ila wabongo wanasema Ontario tapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya kununua hisa ni nzuri lakini sio kwamba ni straight forward mda wote, hisa za makampuni zinapanda na kushuka mda wote kwa hiyo unaponunua ni kwamba unaweza kuwa na hadi 70 percent ya kuongezeka na ukabaki na 30 percent ya kushuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CFD earnings are the hardest easiest money you will ever make. The secret is learn,learn , learn.
 
Back
Top Bottom