Utata juu ya mwanaJF Ontario

Utata juu ya mwanaJF Ontario

Dah......!hivi ni kwanini aliamua kujiondoa humu ndani...au ana multiple ID
Kajamaa noma sana kalisemaga yale mambo yake ya Forex kule Jangid hata Maxence Melo alikua anajua kinachoendelea lkn Maxence akaja humu akakanusha kwamba huo ujinga wenu mimi sihusiki nao kwa chochote kile na msinihusishe nao,kajamaa kakapaniki ooh kama vipi naomba na a/c yangu humu JF ifutwe bla bla bla sijui iliishia wapi.

dodge
 
Ontario ndio mtu pekee aliyemrubuni Habibu A Anga kijana aliyekuwa anapendwa na watu wa rika zote humu JF kuandika uzi wa kizushi kuhusu forex raia walisanukia mchezo mpaka leo hii jamaa aliyekuwa anaonekana Genius hadhi yake kushuka mno.....
Kiukweli jamaa kwa viwango vya upigaji hakutakiwa kuzaliwa bongo either Nigeria au South Africa
 
Hata ukienda Bar unakuta kuna mjanja anauza vilezi watu wanalewa.
Anayepata maarifa kwa elfu 40 na anayelewa.....chaguo ni lako
Siku hizi kutengeneza kundi la misukule ya kukuabudu ni rahisi sana.

Hapo Ontario kashapiga mahesabu, akiposti picha hakosi LIKES 1,500+

Kwa Muktadha huo, hawezi kushindwa kupata Misukule 100 tu !

Na Kwa Kutumia Hao Watu 100 ( Kwa Makadirio Ya Chini ) Kama Kila Mmoja atakuwa analipa Fees ya Tsh 40,000 Kupitia hiyo program yake ya PesaShip.

Maana Yake atakuwa na uwezo wa kuingiza Takribani Tsh 40,000^100 = 4,000,000 Tsh ( Ndani ya Dakika chache tu za Pindi )

Hata Wasanii Wakubwa bongo hawajafikia kiwango hicho ( Cha Kupiga Show Kwa Muda Mfupi Sana, Tena Ya Tsh 40,000/ Kichwa )

Ontario Kashawajua Wabongo, wanapenda mteremko, maisha mazuri na short cuts.

Na Kaijua Njia Nzuri Ya Marketing ( Storytelling ) Kwahiyo Ndoano Zake Huwa Hazitoki Bure.

Ukitaka Kumjua Ontario, Soma Vitabu Anavyosoma. Period

Na Kama Angekuwa Na Nia Ya Kuwasaidia Vijana Wake, Angewapa FORMULA YAKE YA CHAKULA KUKU.

Binafsi hata aje Tonny Robbins Siwezi Kumlipa Akaniambie KOMAA, PAMBANA, UNAWEZA, USIKATE TAMAA. Never !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coca cola wanatengeneza bilioni of money..........hata usipokunywa soda hufi.
Kama tapeli mshitakini na sheria za nchi
Huyo jamaa anawatapeli wale wanaojifanya wasomi huku akili zimefubaa ni bora sie la saba c tumeshapambana na tumeshajua maisha hayana njia ya mkato ila wale walioona wamepoteza mda mashuleni ndio wanataka pesa ya halaka wanapigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukienda Bar unakuta kuna mjanja anauza vilezi watu wanalewa.
Anayepata maarifa kwa elfu 40 na anayelewa.....chaguo ni lako

Sent using Jamii Forums mobile app
Coca cola wanatengeneza bilioni of money..........hata usipokunywa soda hufi.
Kama tapeli mshitakini na sheria za nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta tangazo tunauza bia bei poa.....they only need your money

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi watu wanahela sana,mtu anakunywa konyagi akimaliza anatukana,anapuliza moshi(sigara),acha Ontario nae atumie njia zake ilhali tu hajamshikia mtu bunduki

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa mbona unaandama sana bia mara konyagi mara bia mara kokakola mara konyagi

usifananishe hivi vitu na ujinga unaitwa sjui onyario

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasafishiki Hata Kwa Foma Gold!!!!!😅😄😃😂😁😀😀😄😅😅
 
Siku hizi kutengeneza kundi la misukule ya kukuabudu ni rahisi sana.

Hapo Ontario kashapiga mahesabu, akiposti picha hakosi LIKES 1,500+

Kwa Muktadha huo, hawezi kushindwa kupata Misukule 100 tu !

Na Kwa Kutumia Hao Watu 100 ( Kwa Makadirio Ya Chini ) Kama Kila Mmoja atakuwa analipa Fees ya Tsh 40,000 Kupitia hiyo program yake ya PesaShip.

Maana Yake atakuwa na uwezo wa kuingiza Takribani Tsh 40,000^100 = 4,000,000 Tsh ( Ndani ya Dakika chache tu za Pindi )

Hata Wasanii Wakubwa bongo hawajafikia kiwango hicho ( Cha Kupiga Show Kwa Muda Mfupi Sana, Tena Ya Tsh 40,000/ Kichwa )

Ontario Kashawajua Wabongo, wanapenda mteremko, maisha mazuri na short cuts.

Na Kaijua Njia Nzuri Ya Marketing ( Storytelling ) Kwahiyo Ndoano Zake Huwa Hazitoki Bure.

Ukitaka Kumjua Ontario, Soma Vitabu Anavyosoma. Period

Na Kama Angekuwa Na Nia Ya Kuwasaidia Vijana Wake, Angewapa FORMULA YAKE YA CHAKULA KUKU.

Binafsi hata aje Tonny Robbins Siwezi Kumlipa Akaniambie KOMAA, PAMBANA, UNAWEZA, USIKATE TAMAA. Never !!
Huo ndio ujinga wa wabongo... Unalipa just for kuenda kuambiwa kuwa unaweza kuwa tajiri
...
 
Back
Top Bottom