Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,562
- 2,776
Kati ya vitu vilivyonifanya kuielewa (kuvipenda/kuvutiwa navyo) sana JF miaka ya 2017 ni Ontario na Forex. Sema tu hyo issue nlikuwa naiona JF tu na nlikuwa guest.
Sio bongo hata huko marekani,south Africa motivation speakers ndo wengi na wanacharge mpaka dola 5000 kwa sessionHuo ndio ujinga wa wabongo... Unalipa just for kuenda kuambiwa kuwa unaweza kuwa tajiri
...
motivation speaker motivation speaker motivation speaker daaah wanazidi kuwapoteza vijana kwa kasi sana
October man jitafakari ni mipango mingapi unayo na hujaifanikisha mpaka now? na daily unaendelea kuwafatilia hawa motivation speaker? vipi car wash usha fungua?
nb; yaani mtu akufundishe jinsi ya kutafta pesa na kujinasibu kuwa yeye ni tajiri afu hapohapo anataka umlipe 40k ya mafunzo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea
Pooe 'emSio bongo hata huko marekani,south Africa motivation speakers ndo wengi na wanacharge mpaka dola 5000 kwa session
Watu wote ni matapeli, hata ww ni tapeli ushawah kumtapeli mtu Kwa nyakat fulan , Ila Kwa Sabab Ontario ana gain more Kwa kile tuanchokiita ni tapel bas tunamuonea nongwa , watu wanafanya utapeli kwenye mahusiano Yao, kwenye mapenz huko watu wanatapeliana kama kawa, huko makanisan watu wanatapeliana , Kwa waganga mtu anatapeli, kwenye maswala ya biashara ndo kabisaaa ....." hakuna mtu ambaye siye tapeli" futa hii kauli , au hujui kuwa utapeli/ wizi ni laana?
Sent using Jamii Forums mobile app
kusikliza motivation speaker sio elimu ni kama kusikliza story tu

, napenda spirit yakeAnatumia jna gan insta?Namfatilia Instagram. Jamaa anatia hasiraaa, napenda spirit yake
Sent using Jamii Forums mobile app
I saw some of this guy's whatsapp screenshots, there was Machiavellian undertone in them.Siku hizi kutengeneza kundi la misukule ya kukuabudu ni rahisi sana.
Hapo Ontario kashapiga mahesabu, akiposti picha hakosi LIKES 1,500+
Kwa Muktadha huo, hawezi kushindwa kupata Misukule 100 tu !
Na Kwa Kutumia Hao Watu 100 ( Kwa Makadirio Ya Chini ) Kama Kila Mmoja atakuwa analipa Fees ya Tsh 40,000 Kupitia hiyo program yake ya PesaShip.
Maana Yake atakuwa na uwezo wa kuingiza Takribani Tsh 40,000^100 = 4,000,000 Tsh ( Ndani ya Dakika chache tu za Pindi )
Hata Wasanii Wakubwa bongo hawajafikia kiwango hicho ( Cha Kupiga Show Kwa Muda Mfupi Sana, Tena Ya Tsh 40,000/ Kichwa )
Ontario Kashawajua Wabongo, wanapenda mteremko, maisha mazuri na short cuts.
Na Kaijua Njia Nzuri Ya Marketing ( Storytelling ) Kwahiyo Ndoano Zake Huwa Hazitoki Bure.
Ukitaka Kumjua Ontario, Soma Vitabu Anavyosoma. Period
Na Kama Angekuwa Na Nia Ya Kuwasaidia Vijana Wake, Angewapa FORMULA YAKE YA CHAKULA KUKU.
Binafsi hata aje Tonny Robbins Siwezi Kumlipa Akaniambie KOMAA, PAMBANA, UNAWEZA, USIKATE TAMAA. Never !!
Sirjeff_dennisAnatumia jna gan insta?
Kiukwel mkuu, kuna kitu nimeki-note kuhusu hawa motivational speakers.. wanadumaza sana akili na unakuwa msikilizaji sana kuliko utendaji, wanarahisisha maisha kwa maneno.Monopoly Inc said:Kusikiliza motivational speakers sio elimu ni kama kusikiliza story tu
Sio kweli,mazuzu bado wako wengi na ndio maana Ontario bado anakula vichwa kama kawa.
Tuko vzr mzee baba na juzi nimenunua pikipiki aina ya Honda kutokana na matunda ya pesa za ku-download mkuu.Wazee wa kudownload ma pesa...vipi mnaendeleaje na maisha huko Dubai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona hakuna mtu ambaye atakesha usiku na mchana ili wewe utajirike, anakufanya fursa kwake... Tumia fursa ulizonazo kujikwamua pesa za haraka zina gharama
Kwani wewe ndio mnyama gani ndani ya Serengeti 😀😀😀😀1)Ontario ndio binadamu pekee niliyemuwashia notification IG.
2)Ontario ndio kiumbe pekee nikiambia ni-unfollow wote nakubakisha mmoja atabaki yeye.
Ifahamike mpaka nikuwekee mtu notification ujue kuna kitu Extra-Ordiinary.
Sent using Jamii Forums mobile app