Utata juu ya mwanaJF Ontario

Utata juu ya mwanaJF Ontario

Kati ya vitu vilivyonifanya kuielewa (kuvipenda/kuvutiwa navyo) sana JF miaka ya 2017 ni Ontario na Forex. Sema tu hyo issue nlikuwa naiona JF tu na nlikuwa guest.
 
Ukiona elimu ni ghali wanasemaga jaribu ujinga ati!
motivation speaker motivation speaker motivation speaker daaah wanazidi kuwapoteza vijana kwa kasi sana

October man jitafakari ni mipango mingapi unayo na hujaifanikisha mpaka now? na daily unaendelea kuwafatilia hawa motivation speaker? vipi car wash usha fungua?

nb; yaani mtu akufundishe jinsi ya kutafta pesa na kujinasibu kuwa yeye ni tajiri afu hapohapo anataka umlipe 40k ya mafunzo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" hakuna mtu ambaye siye tapeli" futa hii kauli , au hujui kuwa utapeli/ wizi ni laana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wote ni matapeli, hata ww ni tapeli ushawah kumtapeli mtu Kwa nyakat fulan , Ila Kwa Sabab Ontario ana gain more Kwa kile tuanchokiita ni tapel bas tunamuonea nongwa , watu wanafanya utapeli kwenye mahusiano Yao, kwenye mapenz huko watu wanatapeliana kama kawa, huko makanisan watu wanatapeliana , Kwa waganga mtu anatapeli, kwenye maswala ya biashara ndo kabisaaa .....
 
Siku hizi kutengeneza kundi la misukule ya kukuabudu ni rahisi sana.

Hapo Ontario kashapiga mahesabu, akiposti picha hakosi LIKES 1,500+

Kwa Muktadha huo, hawezi kushindwa kupata Misukule 100 tu !

Na Kwa Kutumia Hao Watu 100 ( Kwa Makadirio Ya Chini ) Kama Kila Mmoja atakuwa analipa Fees ya Tsh 40,000 Kupitia hiyo program yake ya PesaShip.

Maana Yake atakuwa na uwezo wa kuingiza Takribani Tsh 40,000^100 = 4,000,000 Tsh ( Ndani ya Dakika chache tu za Pindi )

Hata Wasanii Wakubwa bongo hawajafikia kiwango hicho ( Cha Kupiga Show Kwa Muda Mfupi Sana, Tena Ya Tsh 40,000/ Kichwa )

Ontario Kashawajua Wabongo, wanapenda mteremko, maisha mazuri na short cuts.

Na Kaijua Njia Nzuri Ya Marketing ( Storytelling ) Kwahiyo Ndoano Zake Huwa Hazitoki Bure.

Ukitaka Kumjua Ontario, Soma Vitabu Anavyosoma. Period

Na Kama Angekuwa Na Nia Ya Kuwasaidia Vijana Wake, Angewapa FORMULA YAKE YA CHAKULA KUKU.

Binafsi hata aje Tonny Robbins Siwezi Kumlipa Akaniambie KOMAA, PAMBANA, UNAWEZA, USIKATE TAMAA. Never !!
I saw some of this guy's whatsapp screenshots, there was Machiavellian undertone in them.
He was trying to control them and exploit their weaknesses.

Ukisoma nyuzi zake hapa JF unaweza kuona ni mpambanaji sana, na ni kweli ni mpambanaji kwa ajili yake. Hilo sio kosa na wala havunji sheria bali anatumia fursa, uvivu wa watu kutafuta taarifa, tamaa ya mafanikio ya haraka, procrastination and lack of pragmatism.

Mtu hawezi kusoma kitabu cha maarifa flani akamaliza mwenyewe bila kitu cha kumsukuma hivyo anakatisha njiani na mwisho anakosa mafanikio ktk malengo yake.
Anapotokea mtu anaeweza kuwapa matumaini ya kuwawezesha kufanya hayo wanayo shindwa, akawajaza hamasa basi huwateka akili kwa manufaa yake.
Hiyo ni mbinu ya kibiashara kwa kucheza na saikolojia ya watu.

Forex ni legit kabisa sio utapeli, unatakiwa usome kisha ufanye mwenyewe lakini unakuta mtu anataka afanyiwe speculation, na mambo mengine ili yeye asiumize kichwa au asikose muda wake wa kutembelea mitandao ya kijamii n.k.
Mtu anamlipa Ontario mafunzo ya kitu flani pesa nyingi wakati mafunzo hayo hayo yapo bure kibao kwenye mitandao kama youtube n.k.

Kifupi wanataka mtu wa kuwafanyia kazi au wa kuwasimamia kutekeleza malengo yao sababu hawana nidhamu ya kujisimamia na kujali muda.
 
Wazee wa kudownload ma pesa...vipi mnaendeleaje na maisha huko Dubai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko vzr mzee baba na juzi nimenunua pikipiki aina ya Honda kutokana na matunda ya pesa za ku-download mkuu.
tapatalk_1574455021669.jpeg


dodge
 
Back
Top Bottom