The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Habari zenu wakuu, naomba kuuliza kwa ambao mmeoa Uchagani na wanawake Mlioolewa kina baba na kina mama mliopo humu.
Nina mwanamke niliekuwa nae katika mahusiano ni Mchaga wa Rombo, nahitaji kwenda kutoa mahari.
Taratbu zinatofautiana naomba kwa waliowahi au kujua taratbu za Uchagani kwa Wa Rombo zikoje.
Nipo nafatilia Comment nasoma moja baada ya nyingine, msaada wenu kwa mnaojua.
Nataka tu kupata Picha ili nijue najipangaje, Picha tu ule mwanga wa wapi nikijikuna mkono unafikia.
NOTE: Niko serious naombeni majibu Mlionitangulia.
Nina mwanamke niliekuwa nae katika mahusiano ni Mchaga wa Rombo, nahitaji kwenda kutoa mahari.
Taratbu zinatofautiana naomba kwa waliowahi au kujua taratbu za Uchagani kwa Wa Rombo zikoje.
Nipo nafatilia Comment nasoma moja baada ya nyingine, msaada wenu kwa mnaojua.
Nataka tu kupata Picha ili nijue najipangaje, Picha tu ule mwanga wa wapi nikijikuna mkono unafikia.
NOTE: Niko serious naombeni majibu Mlionitangulia.