ndio maana siku zote sitaki kufanya kazi sehem moja na mwanamke wangu.
utakata mtu vibao sasa hv.....kumbe utanitu wa kawaida. hapa ofisini kwetu utani kama huo upo saanaaaa...
hata mie ninae baby wangu wa kazini "utani". sasa kama mama nae huko aliko ana bebi wake inakuaje me nikiona na kusikia hayo wanayoambiana!!
utakata mtu vibao sasa hv.....kumbe utanitu wa kawaida. hapa ofisini kwetu utani kama huo upo saanaaaa...
hata mie ninae baby wangu wa kazini "utani". sasa kama mama nae huko aliko ana bebi wake inakuaje me nikiona na kusikia hayo wanayoambiana!!