Hamna ngoma nzuri kama ya kuibaiba.
Bado sijamsikia Preta akipreta hapa :lol::eyebrows::embarassed2:
Atakuja tu usjali..
Kwa hiyo ulichokuwa unasema kwenye
Hizo picha ni kwamba watu wakisha ou au
Olewa huwa wanajiachia sana nikimaanisha
Hawajitunzi .. na wana nenepa hivyo .. sasa ushauri wako kwa ambao wako hivyo ni upi?
Kwa hiyo ukiwa umeoa na ukiba mke wa mtu inakuwaje?
Tamu kweli, unajuwa ukifanya hizi ngoni za kuiba kuna makemikali anajitengeneza mwilimi na shetani anakuwa karibu basi mambo yanakuwa mazuri sana, wewe hujuwi kuwa vitu vyote vizuri ndio shetani anakuwa karibu.
Nisababu zipi? zinazofanya , shii amutamani mume wa mtu
na kumuganda au kunghanghana nae?
Nisababu zipi? zinazofanya , shii amutamani mume wa mtu
na kumuganda au kunghanghana nae?
Wanajua sana kuhonga
Nisababu zipi? zinazofanya, shii amutamani mume wa mtu
na kumuganda au kunghanghana nae?
Dogo ndio sisi bana!! Niaje?
Upo?Mume wa mtu mimi na Mke wa mtu wewe///Mume wa mtu ni yupi
kila mtu ale kwa nafasi yake loh
Shwari bro.
Alafu hamnaga wivu na demu/sholi anakuwa free sana
We waenda tu unapoitaji!!!akibomu kitu we unarusha tu ebana nzuri kweli, halafu hakuna kila saa uko wapi?
Mume wa mtu ni yupi
kila mtu ale kwa nafasi yake loh
Yaone........kulakula kila saa........TV kwa wingi....no time for faza house
dah wakati mwingine ni vitamaa tu vinawasumbua
mwanamke anaweza kuwa na sifa zote kuanzia urembo,mapishi mpaka kunako mambo ya room six x six xx ...
Lakini akina nyie jicho likiona limetamani .....baada ya hapo unapanga mashambulizi
Kwanini??