Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 152
Uzuri we mme wa mtu ukiondoka tu tunabadili sisi viserengeti boy kukuna mpaka kuna kucha
Dogo ujajua tu mi napiga kotekote mpaka vi GF vyenu vinatupenda kweli eti vinasema hatuna longolongo!
Uzuri we mme wa mtu ukiondoka tu tunabadili sisi viserengeti boy kukuna mpaka kuna kucha
Kwa hiyo ukiwa umeoa na ukiba mke wa mtu inakuwaje?
dah wakati mwingine ni vitamaa tu vinawasumbua
mwanamke anaweza kuwa na sifa zote kuanzia urembo,mapishi mpaka kunako mambo ya room six x six xx ...
Lakini akina nyie jicho likiona limetamani .....baada ya hapo unapanga mashambulizi
Kwanini??
Naona kama vile inahusu wanawake,ngoja nisepe zangu!tchao
Dogo ujajua tu mi napiga kotekote mpaka vi GF vyenu vinatupenda kweli eti vinasema hatuna longolongo!
Kama ulikuwa mwembamba ukaolewa ukabadilika kutokana na vitamu ukawa tipwa tipwa kunako 6x6 utaweza wapi?
haha Fidel80 hizi habari za kuwa tipwa tipwa mie hata sitaki kuzisikia kwani hakuna diet ,tunaenda sambamba
Eliza wa Tegeta nakusalimu umepotea sana
Sikatai nyie si mnajua sana kunyoosha mikono alafu mnaacha watoto wenu wanalala kwa kula ugali maharagwe wkt hivyo vinyumba ndogo vikila kuku kwa mrija.
Nisababu zipi? zinazofanya , shii amutamani mume wa mtu
na kumuganda au kunghanghana nae?
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa blog hii kupitia kwa mama chanja. Sijawahi kuwa mwanachama hapa. Kuna tabia inanikera ambayo nilimuomba aikemee lakini akakataa kata kata kwa kuogopa kutengwa. Tabia hii ya wake za watu ama waume za watu ambao waliwahi kuandika wamo kwenye ndoa. Hawa wameanzisha tabia ya kujionyesha wamo kwenye mapenzi motomoto na kuitana majina ya kimapenzi na wapenzi wao bila hata kuonyesha woga wa kuwemo kwenye ndoa. Pia baadhi ya marafiki zao huwapongeza hadharani kwa kuwemo kwenye mapenzi motomoto. Sijui kama uongozi wa blog hii unakubaliana na tabia hii ya kuifanya iwe kama danguro kwa waliomo kwenye ndoa kuonyesha mapenzi moto moto hadharani. Kama uongozi wa blog hii unaona athari ya tabia hii chafu ya wake za watu na waume za watu kujianika hadharani na mapenzi ya nje ya ndoa, basi uongozi uzuie tabia hii haraka sana kabla haijawa tatizo kubwa kupita kiasi.
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa blog hii kupitia kwa mama chanja. Sijawahi kuwa mwanachama hapa. Kuna tabia inanikera ambayo nilimuomba aikemee lakini akakataa kata kata kwa kuogopa kutengwa. Tabia hii ya wake za watu ama waume za watu ambao waliwahi kuandika wamo kwenye ndoa. Hawa wameanzisha tabia ya kujionyesha wamo kwenye mapenzi motomoto na kuitana majina ya kimapenzi na wapenzi wao bila hata kuonyesha woga wa kuwemo kwenye ndoa. Pia baadhi ya marafiki zao huwapongeza hadharani kwa kuwemo kwenye mapenzi motomoto. Sijui kama uongozi wa blog hii unakubaliana na tabia hii ya kuifanya iwe kama danguro kwa waliomo kwenye ndoa kuonyesha mapenzi moto moto hadharani. Kama uongozi wa blog hii unaona athari ya tabia hii chafu ya wake za watu na waume za watu kujianika hadharani na mapenzi ya nje ya ndoa, basi uongozi uzuie tabia hii haraka sana kabla haijawa tatizo kubwa kupita kiasi.
Tabia hii ya wake za watu ama waume za watu ambao waliwahi kuandika wamo kwenye ndoa. Hawa wameanzisha tabia ya kujionyesha wamo kwenye mapenzi motomoto na kuitana majina ya kimapenzi na wapenzi wao bila hata kuonyesha woga wa kuwemo kwenye ndoa
Lakini haimaanishi ndio tuwahukumu kwa kutoka nje ya ndoa, ongea na mkeo ajiweke sawa. Si kwamba mwanamke wa nje anakung'ang'ania wewe bali anang'ang'ania pesa zako.