Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

mimi ningembaka na yeye kwanza halafu kakosea hizo nguo za juu za nini.
Kuna wakati mwingine mfumaniaji hugeuziwa kibao, halafu inavyoonekana umdau mzuri wa mtandao pendwa naona hoja zako zote zimeegemea adhabu hiyo tu. Kwanini usimpeleke kwenye vyombo vya dola?
 
..haya wale wenye tabia na hulka hizo wajionee mambo sasa! ACHENI KULA VYA WATU MTAKUFA SIKU SI ZENU JAMANI!!!eeh!hii pia ipo applikabo hata kwa sisi AKINADADA...tukumbuke MUME WA MTU NI SUMU...mtaja fyekwa na akina Munisi na Mushi...shauri yenu!
Kuna huyu mwingine alikula vya watu, wenyewe wakamshughulikia kwa remote control;
 

Attachments

  • Kichaa mwanamke2jpg.jpg
    Kichaa mwanamke2jpg.jpg
    53.6 KB · Views: 102
  • Kichaa mwanamke.jpg
    Kichaa mwanamke.jpg
    43.4 KB · Views: 103
ni aibu kwa aliyefumaniwa , mke wa aliyefumania na mwisowe ni aibu pia kwa mwenye mali kuwa alimegewa live.............

full kujidhalilisha................

ulilosema ni kweli na mara nyingi watu uwa hawalifikilii hilo.......ukifumania kama unatoa adhabu toa ambayo hata wewe mwenyewe hautajidhalilisha ......
 
Kwa kukuongezea tu hapa,
mume wa huyo mama ni bosi mahali fulani hadi ile ya munisi anaimiliki,
mama kila kitu na hela hazipungui.

Jamaa ni mchoma chips mtaani kwao;
........... Ina maana mama alikuwa hashibi home...........

lakini kuna cha kujiuliza upande wa pili wa shillingi!!mfano akijiuliza tu "hivi mke wangu alirazimishwa?"-muda mwingine ni viherehere vyao na udhaifu wa mume wake!!
 
Kwa kukuongezea tu hapa,
mume wa huyo mama ni bosi mahali fulani hadi ile ya munisi anaimiliki,
mama kila kitu na hela hazipungui.

Jamaa ni mchoma chips mtaani kwao;
........... Ina maana mama alikuwa hashibi home...........

Kwa hali hii ina maana mama ndiye wa kulaumu maana kamwalika jamaa aje kumpatia anavyokosa kwa mume!
 
Hapana wa kumlaumu ni mume ambaye alikuwa hampi mkewe chakula akashiba.

Labda mama alikuwa hajamwambia mume kuwa anamwachaga na njaa!

Angemwambia, naamini mume angejitahidi kumshibisha.
Kosa la mama aliamua kwenda kuomba chakula kwa majirani kabla ya kumwambia mume wake!
 
Back
Top Bottom