sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Tupe ukweli.
Hahaaa haitatokea aisee...hapa ukweli sitatoa...
Tupe ukweli.
Aibu ya kujitakia, kuna wanaume huwa wanona sifa kutembea na wake za watu tena hukaa na kujisifia siiku yakiwakuta kama ya huyo jamaa ndio watakoma.
Sio kiatu tu hata kichwa japo kidogo nitakulamba. Hahahahaaaaaa
Unaona madhara ya fistula ya mdomo?Haeri iwe hivyo mana unaweza kujikuta umeongea yasiyopaswa kuongea...
Mashabiki wenyewe wana vurugu kama wa Misri, TFF imewapiga marufuku kuingia uwanjani hivyo mechi inachezwa bila mashabiki mamito.Eeeh...huu mpira wa kulambana vichwa siyo mzuri tupia goli mashabiki washangilie
Mkuu naomba nikusalimie kinaijeria...Igweeeeeeeeeebadala ya kulaumu wake wenzenu kwa kujirahisi nyie mnalalamikia wanaume wanaosukuma walioinama tayari!
acha kujirahisi jamani!
Haina haja mboja tumeshahitimisha.Hahaaa haitatokea aisee...hapa ukweli sitatoa...
Unaona madhara ya fistula ya mdomo?
Haina haja mboja tumeshahitimisha.
Mashabiki wenyewe wana vurugu kama wa Misri, TFF imewapiga marufuku kuingia uwanjani hivyo mechi inachezwa bila mashabiki mamito.
Mkuu watu wengi weusi na akili zetu ni nyeusi, huu ni udhalilishaji mkubwa mno kwa binadamu yeyote DESPITE of the magnitude of his deeds!
Ni upumbafu kabisa huu
Bora nimekupata supporter for my statement, kuna ambao hawakuelewa nilichomaanisha, haohao hakuna walio kamili ambao hawatoki nje ya ndoa zao au nje ya mahusiano waliyonayo. Ni udhalilishaji NO matter what!