Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Narudia kwa kusema kuwa: Sitetei tabia mbaya hii ya kutembea na mke/mume wa mtu, lakini imenikera kutembezwa uchi wa mnyama hadharani huyu mtu.
 
lakini kuna cha kujiuliza upande wa pili wa shillingi!!mfano akijiuliza tu "hivi mke wangu alirazimishwa?"-muda mwingine ni viherehere vyao na udhaifu wa mume wake!!

atakuwa alimshawishi sana ndo maana akakubali.
 
jamani duh ameaibika sana mabinti tupo mtaani kibao mke wa mtu wa nini tena matatizo mengine yakujitakia tu ..... acha apate mshahara wake,...
 
Aibu ya kujitakia, kuna wanaume huwa wanona sifa kutembea na wake za watu tena hukaa na kujisifia siiku yakiwakuta kama ya huyo jamaa ndio watakoma.

Vipi kuhusu wake wa watu wanaokubali kutongozwa na kukubali huku akijua ni mke wa mtu? kikubwa hapa mtu anapokuwa mke wa mtu ni kujitahidi kukaa mbali na mtu ambae unaona kabisa interest yake inaelekea kwenye kutaka kuchukua mzigo. Kikubwa hapo ni wote wana makosa na mwanaume atalaumiwa zaidi kama alikuwa anajua kabisa huyo ni mke wa mtu na mwenye mke (mumewe) anamjua kabisa lakini na yeye akamtokea au tutamlaumu mwanaume kama ameoa alafu tena anakwenda kwa wake za watu.

Haya mambo yapo complicated kuna mwanaume mwingine anaweza kamwona mrembo na yeye bado hajavuta jiko akajisogeza na binti hakuwa mkweli kwamba ana mume mwisho wa siku anakutwa na mke wa mtu hasa ukizingatia kuna wanaume au wanawake wengine ni ngumu kumjua kama ameo au ameolewa kwani hata pete hawavai na hata ukitumia uzoefu wa kumwangalia kwa vigezo vyetu vya mila na desturi pia anaonekana kama single.

All in all jamaa amepata kile ambacho amekusudia na aibu yake ni fundisho kwa wengine
 
Aibu ya kujitakia, kuna wanaume huwa wanona sifa kutembea na wake za watu tena hukaa na kujisifia siiku yakiwakuta kama ya huyo jamaa ndio watakoma.
Hawana gharama, unaifaidi tu wa kununua sabuni na kuitunza yupo.
 
Vipi kuhusu wake wa watu wanaokubali kutongozwa na kukubali huku akijua ni mke wa mtu? kikubwa hapa mtu anapokuwa mke wa mtu ni kujitahidi kukaa mbali na mtu ambae unaona kabisa interest yake inaelekea kwenye kutaka kuchukua mzigo. Kikubwa hapo ni wote wana makosa na mwanaume atalaumiwa zaidi kama alikuwa anajua kabisa huyo ni mke wa mtu na mwenye mke (mumewe) anamjua kabisa lakini na yeye akamtokea au tutamlaumu mwanaume kama ameoa alafu tena anakwenda kwa wake za watu.

Haya mambo yapo complicated kuna mwanaume mwingine anaweza kamwona mrembo na yeye bado hajavuta jiko akajisogeza na binti hakuwa mkweli kwamba ana mume mwisho wa siku anakutwa na mke wa mtu hasa ukizingatia kuna wanaume au wanawake wengine ni ngumu kumjua kama ameo au ameolewa kwani hata pete hawavai na hata ukitumia uzoefu wa kumwangalia kwa vigezo vyetu vya mila na desturi pia anaonekana kama single.

All in all jamaa amepata kile ambacho amekusudia na aibu yake ni fundisho kwa wengine
Mtoa rushwa na mpokeaji wote Manzanyanza. Source: Baba wa Taifa.
 
vipi hakupatikana wakubonyeza kupata namba ya maajabu?
 
atakuwa alimshawishi sana ndo maana akakubali.

Ndo maana mwanamke ukishakuwa wewe ni mke wa mtu ukishaona njemba inajisogeza kwa nia nyingine mbali ya kaka na dada unatakiwa ukae mbali na watoto, mara nyingi wanawake wa namna hii kama hana matatizo na mumewe basi lazima atakuwa alikuwa anam-entertain huyo mwanaume pamoja na kwamba ni mke wa mtu mwisho wa siku lazima utalegea tu kama binadamu. Mwanamke hata kama hujaolewa kama humtaki mwanaume ukawa unamwekea vikwazo lazima ataingia mitini tu though kuna wanaume wachache huwa ving'ang'anizi atakulia timing mpaka utaingia kwenye kumi na nane zake.
 

Halafu mke mwenyewe nasikia na wa mke wa Kigogo wa CCM!!! Angalia magazeti yetu pendwa ya udaku leo wamedadavua na picha zote hadharani!!! Kazi ipo kijana sijua kao huyu au ni dandizi la wake za watu?? Aibu sana na utanashati wote huo leo umebaki katika mitandao. Tupeni jina lake wakuu maana kwa hakika atakuwa anafahamika huyu Mariooo wa mujini.
 
Bila shaka washamtafuna kiboga huyo na kumpiga picha. Acheni wake za watu jamani, ivi ni tamaa au sifa za kijinga ??....mbona ma shawry warembo wako kibao tu walio single shida yote ya nn ?? Acha ainywe jeuri yake.

Ila mdau kuna wake za watu ving'ang'anizi mkuu we acha tu kama huna busara kila siku unaweza ukawa unafumaniwa, sasa kuna wanaume wengine wakijilengesha huwa hawatafakari ni kuwapa bakora tu. Huwa nawashangaa sana wanaowakataza wake zao wasifanye kazi kwa hofu ya kutokewa na mabosi wakati uswahilini wanatokewa na subordinate
 
kweli kufumaniwa noma, Huyo jamaa aliyefumaniwa anaonekana yuko na msuli, alkini kawa mlaini kwa mfumaniaji (kama ndiye yeye kwenye picha)
 
Back
Top Bottom