Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Narudia kwa kusema kuwa: Sitetei tabia mbaya hii ya kutembea na mke/mume wa mtu, lakini imenikera kutembezwa uchi wa mnyama hadharani huyu mtu.
subiru ugegedewe mkeo ndio utajua
 
Kuna wakati mwingine mfumaniaji hugeuziwa kibao, halafu inavyoonekana umdau mzuri wa mtandao pendwa naona hoja zako zote zimeegemea adhabu hiyo tu. Kwanini usimpeleke kwenye vyombo vya dola?
nashukuru sijawahi hata kufikiria kufanya hiyo kitu.ila naipenda sana hiyo adhabu maana humfanya muhusika kujiua au kuhama mji kabisa.napenda kisasi sana.
 
lakini kuna cha kujiuliza upande wa pili wa shillingi!!mfano akijiuliza tu "hivi mke wangu alirazimishwa?"-muda mwingine ni viherehere vyao na udhaifu wa mume wake!!

We kila uchwao una remote unaangalia isidingo tuuuu kwani huyo binti kafata kitanda! Shughulikeni nao haki hawatakuwa na hamu na mijamaa ya huko nje!
 
Moja moja hadi kanisani kutubu na kuachana na dhambi kwani ni bonge la aibu :A S-confused1:hadi shetani ataikana.....!!!!!
 
Hili ni balaa na iwe funzo kwa wanaotembea na wake za watu........!!
Ni kweli ngoja tuwashauri watembee na wake za Nyani, tumbili, sokwe, simba, chui....nk maana dunia hii kila mwanamke na mwanaume ni wa mtu.
 
We kila uchwao una remote unaangalia isidingo tuuuu kwani huyo binti kafata kitanda! Shughulikeni nao haki hawatakuwa na hamu na mijamaa ya huko nje!
Wengine tunaowaoa huwezi jua historia zao, wapo wanaotoka nje kufuata Kabaang, wanaogopa wakiomba nyumbani wataonekana wake wa ajabu.
 
hee! mbona sijaelewa mkuu!!! kwa remote kivipi?wamemfanyeje?
Dada jamiif bhana hujawahi kuishi maeneo ya Rukwa, Katavi, Tanga, Bagamoyo mlingotini nini?
 

Attachments

  • Wanga na Vigagula.jpg
    Wanga na Vigagula.jpg
    31 KB · Views: 72
Kwa kukuongezea tu hapa,
mume wa huyo mama ni bosi mahali fulani hadi ile ya munisi anaimiliki,
mama kila kitu na hela hazipungui.

Jamaa ni mchoma chips mtaani kwao;
........... Ina maana mama alikuwa hashibi home...........
Mkuu unamaanisha alikuwa hapati yale mambo ya jukwaa la kule chini kabisa?
 
Wengine tunaowaoa huwezi jua historia zao, wapo wanaotoka nje kufuata Kabaang, wanaogopa wakiomba nyumbani wataonekana wake wa ajabu.


Ni vema kujua mkeo anataka nini, jaribu kuwa laini ukiwa naye ili awe huru kusema chochote anachotaka afanyiwe na hata kama huwezi kumfanyia mjibu kimapenzi tu sio kumkalipia; tofauti na hivyo ndio atakimbilia mtaani kufuata hiyo kabang
 
Ni vema kujua mkeo anataka nini, jaribu kuwa laini ukiwa naye ili awe huru kusema chochote anachotaka afanyiwe na hata kama huwezi kumfanyia mjibu kimapenzi tu sio kumkalipia; tofauti na hivyo ndio atakimbilia mtaani kufuata hiyo kabang
Wanawake eeeeeh mmemsikia happiness win anasema kama mmezoea kuliwa kabaang huko nyuma kabla ya ndoa na mnatamani kuendelea kupewa huduma hiyo msiogope kuwaomba Waume zenu.

Kwa kuanzia milango yangu iwazi kusikiliza shida zenu kwa PM.
 
Wanawake eeeeeh mmemsikia happiness win anasema kama mmezoea kuliwa kabaang huko nyuma kabla ya ndoa na mnatamani kuendelea kupewa huduma hiyo msiogope kuwaomba Waume zenu.

Kwa kuanzia milango yangu iwazi kusikiliza shida zenu kwa PM.


Sasa wewe grafani11 umekaa standby PM na kitaulo chako unasubiri wake za watu wanaohitaji huduma ya kabang! subiri waume zao wakukute utaliwa hadharani mchana kweupeeeeeee! mie simo
 
Last edited by a moderator:
Wanawake eeeeeh mmemsikia happiness win anasema kama mmezoea kuliwa kabaang huko nyuma kabla ya ndoa na mnatamani kuendelea kupewa huduma hiyo msiogope kuwaomba Waume zenu.

Kwa kuanzia milango yangu iwazi kusikiliza shida zenu kwa PM.

hahahaha....hapo kwenye kumuomba itategemea kama na yeye anafanya huo mchezo.....kama hafanyi unaweza jikuta unaambulia talaka tu.....
 
We kila uchwao una remote unaangalia isidingo tuuuu kwani huyo binti kafata kitanda! Shughulikeni nao haki hawatakuwa na hamu na mijamaa ya huko nje!

na sasa hivi wako busy na mpira yani mh..
 
Mbona anashambuliwa mwanaume tu!!! Kwani mwanamke hakujua kama yeye ni mke wa mtu???? Si alikubali mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom