Watu bwana!!Jamaa naona anajitaidi apate picha maeneo ya nyuma ya mfumaniwa hahaha!!! Mke wa mtu kweli sumu afu wenyewe wanasema mume wa mtu'madhiwa'
hahaha..tena anayejitahidi kupata picha ni mwanamama! Sijui anataka akammwonyshe mmewe?!
Watu bwana!!Jamaa naona anajitaidi apate picha maeneo ya nyuma ya mfumaniwa hahaha!!! Mke wa mtu kweli sumu afu wenyewe wanasema mume wa mtu'madhiwa'
Watu bwana!!Jamaa naona anajitaidi apate picha maeneo ya nyuma ya mfumaniwa hahaha!!! Mke wa mtu kweli sumu afu wenyewe wanasema mume wa mtu'madhiwa'
Sawa usemalo lina ukweli, lakn vitu vingine ni kuendekeza ujinga tu...(Sipendi kujisifia ujinga) mimi nimeshawahi tongozwa na wake za watu kama wa 4 hivi ving'ang'anizi haswa....ila nilishinda mitego yao, nimewapotezea na nina waogopa kama ukimwi, sitaki kabsa mazoea nao. Istoshe ilifika wakat nikawa nawakimbia....cz najua si busara na dhambi kwa Mungu. Mi napenda sana kutafuna papuchi lakn si za wake wa watu. Pia unakuta mwanamke mwingine anakwambia yuko single na pete kavua kidoleni...ukifuatiliwa unakuja ambiwa mke wa mtu...Noma sanaaa man. Lazma kua makini usije pelekwa machinjioni.
Kumbe kama ni mke wa mtu kwanini unikubalie, nani mwenye kosa hapo?Bure ghali mkikutwa na fedheha kama hiyo ya kutembezwa mtaani uchi ndio utajua mke wa mtu ni sumu
Kama ndiyo hivyo ilitakiwa na huyo mwanamke atembezwe uchi pia.Niuzalilishaji utamtembezaje mwanaume mwenzako uchi wakati wanapeana raha uyo mwanamke si alikubali na wakati anajuwa ana mume uyo mwanaume aliyemtembeza mwenzake angekuwa uku atown ni shaba 2
Unaomba kwa Mungu huyu huyu tunayemfahamu au kwa yule aliyefukuzwa toka Mbinguni?Kila nikilala nasali nisije fumwa na mke wa mtu ,niwahi kumuona yeye kabla yangu ili nisepe
Kila nikilala nasali nisije fumwa na mke wa mtu ,niwahi kumuona yeye kabla yangu ili nisepe
Dunia hii utapata wapi Mke wa Nyani,pundamilia, sokwe,tumbili....?Aibu ya kujitakia, kuna wanaume huwa wanona sifa kutembea na wake za watu tena hukaa na kujisifia siiku yakiwakuta kama ya huyo jamaa ndio watakoma.
Dunia hii utapata wapi Mke wa Nyani,pundamilia, sokwe,tumbili....?
Well said mkuu. Inakuwaje mwanamke wa mtu akubali kutoa uroda, labda kama atabakwa hapo sawa.Pamoja na haya wake za watu wanaendelea kuwavulia chupi wasiokuwa waume zao
Tena kwa kujisifia!