Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Ni kweli nilishaga onja .... Acha kabisa ni nomaaaa ila niliamua kuacha baada ya watu wangu wa karibu kinionya ila aise asikwambie mtu ile kitu tamu balaaa
 
Narudia kwa kusema kuwa: Sitetei tabia mbaya hii ya kutembea na mke/mume wa mtu, lakini imenikera kutembezwa uchi wa mnyama hadharani huyu mtu.


Ulitaka wamvalishe msuli au baibui! Wacha avune alichopanda, na wengine wenye tabia kama yake wajifunze! Mbona kwanza wamemsitiri sana? Uyu ilifaa wamtoe na izo nguo za juu abaki na natural suit ndo ingekuwa safi
 
Ni kweli nilishaga onja .... Acha kabisa ni nomaaaa ila niliamua kuacha baada ya watu wangu wa karibu kinionya ila aise asikwambie mtu ile kitu tamu balaaa


Tamu kwa kuwa ni mke wa mtu?? au tamu kwa kuwa ni ya kike?
 
ni aibu kwa aliyefumaniwa , mke wa aliyefumania na mwisowe ni aibu pia kwa mwenye mali kuwa alimegewa live.............

full kujidhalilisha................
 
Ndo maana mwanamke ukishakuwa wewe ni mke wa mtu ukishaona njemba inajisogeza kwa nia nyingine mbali ya kaka na dada unatakiwa ukae mbali na watoto, mara nyingi wanawake wa namna hii kama hana matatizo na mumewe basi lazima atakuwa alikuwa anam-entertain huyo mwanaume pamoja na kwamba ni mke wa mtu mwisho wa siku lazima utalegea tu kama binadamu. Mwanamke hata kama hujaolewa kama humtaki mwanaume ukawa unamwekea vikwazo lazima ataingia mitini tu though kuna wanaume wachache huwa ving'ang'anizi atakulia timing mpaka utaingia kwenye kumi na nane zake.

sisi tunaambiwa ikimbie zinaa ndo tunaikumbatiia zinaa madhara yake ni kama haya...
 
..haya wale wenye tabia na hulka hizo wajionee mambo sasa! ACHENI KULA VYA WATU MTAKUFA SIKU SI ZENU JAMANI!!!eeh!hii pia ipo applikabo hata kwa sisi AKINADADA...tukumbuke MUME WA MTU NI SUMU...mtaja fyekwa na akina Munisi na Mushi...shauri yenu!
 
Ila mdau kuna wake za watu ving'ang'anizi mkuu we acha tu kama huna busara kila siku unaweza ukawa unafumaniwa, sasa kuna wanaume wengine wakijilengesha huwa hawatafakari ni kuwapa bakora tu. Huwa nawashangaa sana wanaowakataza wake zao wasifanye kazi kwa hofu ya kutokewa na mabosi wakati uswahilini wanatokewa na subordinate

Yees Yees Yees...!!!!!
 
Hawana gharama, unaifaidi tu wa kununua sabuni na kuitunza yupo.
Hapo umenena,pia appointment zao za uhakika moja kwa moja uwanjani.sio wengine mpaka mkae bar,beach,shopping ashibe ndio achague na hotel ya gharama.huoni jamaa asubuhi mapema kajisevia
 
Huyu baunsa kweli anapoteza ubaunsa wake kwa kupenda vitu vya chini vyenye wamiliki hallali? Kama hana mke si aoe kuliko alivyofanyiwa. Kama atabaki aki function amshukuru Mungu kwani siku hizi wakikamatwa huwa wanamalizwa kiburi chote anabakia tu na mwili wa kiume na si uwezo wa nguvu za kiume.
Uzinzi si mzuri jamani!!!!!
 
lakini kuna cha kujiuliza upande wa pili wa shillingi!!mfano akijiuliza tu "hivi mke wangu alirazimishwa?"-muda mwingine ni viherehere vyao na udhaifu wa mume wake!!
Kusema ukweli hata mie hua najiuliza sana! Kwa mfano nimfumanie shemeji yako...nita-deal na yeye au huyo niliemkuta nae. Na je...what if kawapanga kama watatu. Will I have the energy to deal with his every "kimada"..au ndio aliekamatwa na ngozi ndio mwizi style?? :A S 39:
 
Kusema ukweli hata mie hua najiuliza sana! Kwa mfano nimfumanie shemeji yako...nita-deal na yeye au huyo niliemkuta nae. Na je...what if kawapanga kama watatu. Will I have the energy to deal with his every "kimada"..au ndio aliekamatwa na ngozi ndio mwizi style?? :A S 39:

hujakosea mkuu its confusing
 
Ila mdau kuna wake za watu ving'ang'anizi mkuu we acha tu kama huna busara kila siku unaweza ukawa unafumaniwa, sasa kuna wanaume wengine wakijilengesha huwa hawatafakari ni kuwapa bakora tu. Huwa nawashangaa sana wanaowakataza wake zao wasifanye kazi kwa hofu ya kutokewa na mabosi wakati uswahilini wanatokewa na subordinate

Sawa usemalo lina ukweli, lakn vitu vingine ni kuendekeza ujinga tu...(Sipendi kujisifia ujinga) mimi nimeshawahi tongozwa na wake za watu kama wa 4 hivi ving'ang'anizi haswa....ila nilishinda mitego yao, nimewapotezea na nina waogopa kama ukimwi, sitaki kabsa mazoea nao. Istoshe ilifika wakat nikawa nawakimbia....cz najua si busara na dhambi kwa Mungu. Mi napenda sana kutafuna papuchi lakn si za wake wa watu. Pia unakuta mwanamke mwingine anakwambia yuko single na pete kavua kidoleni...ukifuatiliwa unakuja ambiwa mke wa mtu...Noma sanaaa man. Lazma kua makini usije pelekwa machinjioni.
 
jamani duh ameaibika sana mabinti tupo mtaani kibao mke wa mtu wa nini tena matatizo mengine yakujitakia tu ..... acha apate mshahara wake,...

Beautiful hot single ladies wako kibao mjini hapa, utachoka kuwahesabu...Mtoto unampa sincere care and affection na maneno matamu bila kusahau vi offer vya hapa na pale, utakula mzigo kama mkeo, utachoka/utakinai mwenyewe. Ukitangaza ku break up nae wengine wanakuganda haswa.
 
Beautiful hot single ladies wako kibao mjini hapa, utachoka kuwahesabu...Mtoto unampa sincere care and affection na maneno matamu bila kusahau vi offer vya hapa na pale, utakula mzigo kama mkeo, utachoka/utakinai mwenyewe. Ukitangaza ku break up nae wengine wanakuganda haswa.

umeona eeh!!!! acha apate adabu yake...
 
Back
Top Bottom