pure crazy
Senior Member
- Nov 28, 2013
- 190
- 37
Usiombe kukutwa na mke wa mtu utajuta kuzaliwa kidume
subiru ugegedewe mkeo ndio utajua
mkuu usinitafute ugomvi....Hata wako naye anamegwa ila hujaona tu (acha kubisha) kama ambavyo unamega wa wenzio. Maisha yanasonga tu...
Mbona aliyefumaniwa amefungwa pingu? Ugoni kwetu si jinai bali ni madai tu....
Mwekundu umeongea wanawake wenyewe mcharuko.
kama tunda nishapata unadhani ntasikia maumivuUnatamani kufumaniwa? chagua place, na aina ya kichapo tujaribu na sisi watuone mitandaoni!
Tatizo Watu wanamaliza sana mabucha ila nyama haibadiliki ladha
Kakwambia nani! Nyama haiwezi kuwa sawa hata siku moja. Unaweza kuta bucha hili lina ngombe aliyenona lingine lina nyama inayoteleza!
Huo ni msemo tu.
Labda tujadili ni kwa nini wanaume/wanawake hupenda wake/waume za watu?
Mpira gani mbona siku hizi hoja zako zinakuwa kwenye mabano bhana?na sasa hivi wako busy na mpira yani mh..
Bwana Yesu akasema "na aliyemtakatifu awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanake huyu". Aliposema hivyo akainamisha uso wake chini akachora na hata alipoinua uso wake hakuwepo hata mtu mmoja.Polisi walienda kumuokoa na kumtia pingu ili wampeleke kituoni kukwepa hasira za wananch
.View attachment 123740
Mwambie shemeji ajiangalie atasaidiwa kazi.na sasa hivi wako busy na mpira yani mh..
Ndio maaana nimevaa taulo, mambo ni fasta fasta nasepa. Tena nahitaji hilo kumbatio lako (Hug) si la mchezo.Sasa wewe grafani11 umekaa standby PM na kitaulo chako unasubiri wake za watu wanaohitaji huduma ya kabang! subiri waume zao wakukute utaliwa hadharani mchana kweupeeeeeee! mie simo
Mpira gani mbona siku hizi hoja zako zinakuwa kwenye mabano bhana?
Mwambie shemeji ajiangalie atasaidiwa kazi.