Huo ni uongo, that is just a stagged photo!. Hiyo ni laptop, mahali pake sahihi ni kwenye lap, sasa hata hapo alipo, kwanini asiiweke kwenye lap?, ameiweka chini ili watu waone!.
Chumba hicho ni chumba muhimu kwa starehe zake, kuingine utakuta magazeti ya mapicha, kwingine kuna screen na wengi wetu siku hizi huingia na simu ili tuu u take time to relax!.
Choo cha ofisin kwetu.... au mnabisha niweke nyingine, na huyo na friend aliomba nimpige akiwa ana do the nidfull