jaman habari zenu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unamkuta mdada anakutega mara kibao mara akae uchi mara alete vzawadi sasa ndo nauliza nitajuaje kama hatanichezea? Yani akinipata alaze na zote! Nitajuaje kama hatanikimbia?
How many you have played them? lol
tupe japo kdgo nasi tuweze kujihami.
Muongo,muongo....mwingi wa vibomu...anapenda mkae mlimani city muuze sura na wana kuliko kukaa m-discuss ishu za zenu za msingi....kila saa yupo busy ila akiwa na shida majina matamu yoooote duniani utaitwa wewe...
Muongo,muongo....mwingi wa vibomu...anapenda mkae mlimani city muuze sura na wana kuliko kukaa m-discuss ishu za zenu za msingi....kila saa yupo busy ila akiwa na shida majina matamu yoooote duniani utaitwa wewe...
jaman habari zenu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unamkuta mdada anakutega mara kibao mara akae uchi mara alete vzawadi sasa ndo nauliza nitajuaje kama hatanichezea? Yani akinipata alaze na zote! Nitajuaje kama hatanikimbia?
U mean mdada akuchezee ,mmh it doesn't click right in my head, akikuletea zawadi she did it out of love giving is love is it? mi nijuavyo men are the ones who treat women as a playing thing mnawagongagonga afu mnasepa si ndo kuchezea huku , asa how could U say mdada akuchezee jamani , or U mean anataka mechi ya ujirani tu , mmh haya bana
kwn wanawake hawataman wanaume? Kama wanataman ndio hivyo anakutega ukiingia mkenge anamaliza shida then anachapa lapa,huko co kuchezea?
[/B][/COLOR]refer above bolt text madam heart pigilia nail