BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Zinauzwa laki tatu siku hizi au ndo za hu jin tao? Au alijazilizia?
Mi sinunui k hata siku moja
hizo ni made in shung shaaaa
Zinauzwa laki tatu siku hizi au ndo za hu jin tao? Au alijazilizia?
Mi sinunui k hata siku moja
Ina maana siku hizi Wanaume nao wanacchezewa!! basi makubwa haya.
he he he; alipaua ama alipakua?
Nahisi gari la mabox
hahhha wee nomaaa!!! umekaa kibiashara zaidi au sio....alimega au ndio aliishia ku imagine tuu?
Sikumbuki kama Sita hivi! You were smart enough to escape me!
hahahaaaaaaaaaaaaaa! umegonga mulemule..Muongo,muongo....mwingi wa vibomu...anapenda mkae mlimani city muuze sura na wana kuliko kukaa m-discuss ishu za zenu za msingi....kila saa yupo busy ila akiwa na shida majina matamu yoooote duniani utaitwa wewe...
una maanisha linahitaji masters na majani pia!!!!!
mara moja moja na wewe uwe unafanya zile za no string attached.....siyo kila uhusiano unataka kutua, zingine utaingizwa mjinijaman habari zenu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unamkuta mdada anakutega mara kibao mara akae uchi mara alete vzawadi sasa ndo nauliza nitajuaje kama hatanichezea? Yani akinipata alaze na zote! Nitajuaje kama hatanikimbia?
Sasa nitajilengesha nione lol...
mimi aminia yeye bana!mambo madoogho sana haya kwa The BossMuache hajui asili yangu mimi ni mfulero; ile nyumba mbona tutaibomoa maana nataka window seat na at least kafloor kamoja! LOL
jaman habari zenu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unamkuta mdada anakutega mara kibao mara akae uchi mara alete vzawadi sasa ndo nauliza nitajuaje kama hatanichezea? Yani akinipata alaze na zote! Nitajuaje kama hatanikimbia?