Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

Hivi Simba umbumbu hautawaisha... Mwl ni straika wakupewa promo kabisa 🤣🤣
Umbumbu umeisha yanga wauchukua
Screenshot_2026-08-11_065435.jpg
 
Nashauri wanawake wote wa JF mumpe kikojoleo bwana min -me mana ni mtabiri hvy atawatabiria mambo yenu 😎
 
Nashauri wanawake wote wa JF mumpe kikojoleo bwana min -me mana ni mtabiri hvy atawatabiria mambo yenu 😎
Hivi nikisema Billion 30 Mwamedi anaongopa unadhani huo ni utabiri au fact?

Kuna wapumbavu walisikiliza porojo za Magori wanadhani ana jeuribya kumsajili Feitoto bila kujiuliza nani wa kumlipa mshahara anaolipwa Azam?

Tajiri mchambaji kama Mwamedi maneno mengi vitendo sufuri kwanza awaeleze Simba zile pesa zilichangishwa kwa simu na Barbara za kujenga uwanja Bunju ziko wapi?

Mtakuha kumuelewa Mangungu baadaye sana, wengi wenu hamjui kama Mangungu ana exposure kubwa, nu muelewa wa mambo ni msafiri kitambo amecheza na watoti wa Kihindi nyumbani kwa Kisutu Libya street hawezi kudanganywa na mtoto mdogo kama Mwamedi kisa ana pesa za Familia.
 
Kila siku nasema hapa mzee Mangungu na mzee Magori wafike mahali wajitathmini. Kwa umri wao ni wastaafu na mpira unataka unataka watu "active" kwa nini wasikae pembeni wawe washauri tu waache wakina Nkwabi wakimbizane na wakina Hersi. Sasa aibu yote hii kwenye bodi ya Simba yenye watu 12+ dhidi ya Hersi na Arafat.

Anyway nawashauri tena Simba kwa mara ya nyingine nendeni pale Coastal mkambebe Maabad Maabad au pale Dodoma Jiji mkambebe Edgar William maana hao walau ndio "local striker" ambao wanaweza kukupa anagalau goli kumi+ kwenye mashindano yote. Na si ajabu mwisho wa msimu idadi yao ya mabao ikalingana na Mwalimu au hata kumzidi.

Ni mtizamo tu
 
Hivi nikisema Billion 30 Mwamedi anaongopa unadhani huo ni utabiri au fact?

Kuna wapumbavu walisikiliza porojo za Magori wanadhani ana jeuribya kumsajili Feitoto bila kujiuliza nani wa kumlipa mshahara anaolipwa Azam?

Tajiri mchambaji kama Mwamedi maneno mengi vitendo sufuri kwanza awaeleze Simba zile pesa zilichangishwa kwa simu na Barbara za kujenga uwanja Bunju ziko wapi?

Mtakuha kumuelewa Mangungu baadaye sana, wengi wenu hamjui kama Mangungu ana exposure kubwa, nu muelewa wa mambo ni msafiri kitambo amecheza na watoti wa Kihindi nyumbani kwa Kisutu Libya street hawezi kudanganywa na mtoto mdogo kama Mwamedi kisa ana pesa za Familia.
Mashabiki wengi wa simba na Yanga hawana akili timamu
 
Back
Top Bottom