Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

Utambulisho wa Selemani Mwalimu , kwa Simba yangu ni uhuni unaoendelea Simba , msituone sisi ni wajinga nyie viongozi majahili wa Simba
Umelazimishwa kukubali..halafu jisemee wewe mwenyewe hatujakutuma kutujumuisha
 
Hii Simba day yenu ni kituko bwashee, ni wazi viongozi wenu kuna namna wanawashika kalio.
 
Utambulisho wa Selemani Mwalimu , kwa Simba yangu ni uhuni unaoendelea Simba , msituone sisi ni wajinga nyie viongozi majahili wa Simba
Hujasikia mnavyopumbazwa kwa namna alivyotambulishwa mpanzu?. BAADA YA KUKOSA CHOCHOTE KIPYA CHA KUWASHTUA MASHABIKI WAKAJA NA MBINU ZILE ZILE Ametambulishwa mpanzu kama vile alikuwa kwenye mjadala wa kugombaniwa sana na YANGA na timu zingine . Hatimaye simba wakashinda hiyo vita ya kumsajili mpanzu. Ni aibu.

Mo kama kawaida yake amekuja nae na mbinu zile zile anaweka mpunga wa ahadi zile zile. B30 atawadai wanasimba mkipiga kelele cha kumchomoa. Hakuna anaeshtukia hilo,wenyewe ni kushangilia tu.

HAPO NDIO UTAKUTANA NA UTOFAUTI WA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

Yote kwa yote Ahmed Ally anajua sana namna ya kuhadaa. Ni rahisi sana kuwakamata mashabiki kwa slogan zake
 
Hujasikia mnavyopumbazwa kwa namna alivyotambulishwa mpanzu?. BAADA YA KUKOSA CHOCHOTE KIPYA CHA KUWASHTUA MASHABIKI WAKAJA NA MBINU ZILE ZILE Ametambulishwa mpanzu kama vile alikuwa kwenye mjadala wa kugombaniwa sana na YANGA na timu zingine . Hatimaye simba wakashinda hiyo vita ya kumsajili mpanzu. Ni aibu.

Mo kama kawaida yake amekuja nae na mbinu zile zile anaweka mpunga wa ahadi zile zile. B30 atawadai wanasimba mkipiga kelele cha kumchomoa. Hakuna anaeshtukia hilo,wenyewe ni kushangilia tu.

HAPO NDIO UTAKUTANA NA UTOFAUTI WA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

Yote kwa yote Ahmed Ally anajua sana namna ya kuhadaa. Ni rahisi sana kuwakamata mashabiki kwa slogan zake
Wana simba hatutaki levo ya upumbavu wa kiasi hichi zaidi ya ubingwa
 
Hujasikia mnavyopumbazwa kwa namna alivyotambulishwa mpanzu?. BAADA YA KUKOSA CHOCHOTE KIPYA CHA KUWASHTUA MASHABIKI WAKAJA NA MBINU ZILE ZILE Ametambulishwa mpanzu kama vile alikuwa kwenye mjadala wa kugombaniwa sana na YANGA na timu zingine . Hatimaye simba wakashinda hiyo vita ya kumsajili mpanzu. Ni aibu.

Mo kama kawaida yake amekuja nae na mbinu zile zile anaweka mpunga wa ahadi zile zile. B30 atawadai wanasimba mkipiga kelele cha kumchomoa. Hakuna anaeshtukia hilo,wenyewe ni kushangilia tu.

HAPO NDIO UTAKUTANA NA UTOFAUTI WA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

Yote kwa yote Ahmed Ally anajua sana namna ya kuhadaa. Ni rahisi sana kuwakamata mashabiki kwa slogan zake
Hata wewe ungekua Ahmed ungetafuta mbinu ila kama una akili ndogo kuliko yeye basi ungefukuzwa mapema na zigo la nnya ungemwagiwa wewe.

Ila kajamaa kanajitahidi kinoma, hakapo kwenye mgogoro wowote.
 
Back
Top Bottom