selemani mwalimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Loemba, Duchu na Selemani Mwalimu.! Mmepigaje pale.

    Duchu ndio kusema alikuwa anawasubiri Loemba na Gomez ili tu...awasaidie goli Lao walilokuwa wameliplani walipokuwa pale nje....Goli walilokuwa wamelichora..! Salute kwao goli La tatu ...Loemba ..Duchu ....Selee.! SSC 3 - 0 TRA. Dk 72..
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania Mzize kwenda Kaskazini atafakari sana, ajifunze kwa kutumia makosa ya wenzake, Selemani Mwalimu, Chama na Miquison.

    Inasemekana kuwa Mwalimu amefeli kule Wydad. Selemani Mwalimu anarudi kucheza Simba kutoka Wydad kwa visingizio vyepesi kabisa kama walivyorudi wengine kutoka Afrika ya waarabu. Waarabu hawawezi kuvumilia kumsubiria mchezaji mweusi asiyewapa matokeo ya leoleo uwanjani. Wanaweza kumvumilia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Selemani Mwalimu ni bora kuliko Kibu D na Feisal Salum!!

    Inakuaje yeye acheze kwenye timu yenye mpunga mrefu na ambayo ni rahisi kuonekana zaidi kwenye soko , halafu eti Feisal Salum na Kibu Denis wabaki kwenye ligi hii iliyojaa ubabaishaji. Kwa mtazamo wangu ninaona Feisal Salum na Kibu Denis ni wachezaji wakubwa zaidi ya Selemani Mwalimu. Hivi...
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Selemani Mwalimu(25) leo tena amefunga goli lake la 6️⃣ ndani ya NBC Premier League,

    Pure Talent 🔥 Mechi Nane za Ligi Kuu kaweka magoli mengi kuliko mchezaji yeyote hadi sasa kwa Msimu huu 2024-25 Muendelezo wake mbele ni wa kiwango cha juu saana na ndiye anaongoza orodha ya Wafungaji Bora wa Ligi Kuu hadi sasa! Leo amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Tisa na...
Back
Top Bottom