Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 85
Ushoga sio jambo zuri katika jamii. Lakini je wawezaje kuwalinda ndugu kama kaka na wadogo zako wa kiume wasiingize huko. Na dalili za shoga ni zipi ili ukiona uanze kuwalindana kuwakataza mchezo mchafu ambao hata maandiko yanakataza? Jamani tusaidiane ili kuokoa jamii yetu