Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
how will u do this? utamfuata maliwatoni!! be realisticMuangalie wakati anajisaidia haja kubwa ukiona analia/anatokwa na machozi ujue huyo atakuja kuwa shoga tu.
lol. utapata kichapo cha mbwa mwiziWe pita mtaani,waguse wanaume makalio kila unayekutana naye,atakayestuka si chakula,asiyestuka ni chakula huyo
na wewe mlaani wanawe wa kike wawe wasagajiHii shughuli, sijawahikuwaza hata mara moja. Itakuwa vizuri iwapo wadau mtatujuza namna ya kuwatambua hasa wakati ndio wanaanza ili kuweza kujaribu kuwapa mashauri/nasaha mujarabu labda yataacha kuwa Punga na Kuwa Ugali.
Nasubiria mawazo yenu ka hamu kubwa hasa ukizingatia nimelaaniwa watoto wangu wa kiume tu wawe shoga. Lol
Ushoga sio jambo zuri katika jamii. Lakini je wawezaje kuwalinda ndugu kama kaka na wadogo zako wa kiume wasiingize huko. Na dalili za shoga ni zipi ili ukiona uanze kuwalindana kuwakataza mchezo mchafu ambao hata maandiko yanakataza? Jamani tusaidiane ili kuokoa jamii yetu