shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Teh tehBora umasikini.
Teh tehBora umasikini.
Asiyejua maana haambiwi maana...! Juha siku zote hujifanya mwerevu kuliko wote...usoni atakufyonya lakini moyoni anakukubali....kule kuku Diss ni dalili za inferiority complex. ...mtu wa namna hii unamdharau tuuWatu wanadharau hii mada, ila mimi mwenyewe ni mtafutaji na ktk kutafuta maisha kuna mengi,,,, una la ziada niPM nikujuze!
Duh!kuna tajiri mmoja yeye alipewa sharti la kutojisaidia chooni(yaani ni mtu wa kukata gogo porini)sasa ukiwa posta mpya sijui pori la haraka linakuwa wapi?Asiyejua maana haambiwi maana...! Juha siku zote hujifanya mwerevu kuliko wote...usoni atakufyonya lakini moyoni anakukubali....kule kuku Diss ni dalili za inferiority complex. ...mtu wa namna hii unamdharau tuu
Worry not mkuu, ukweli siku zote utabaki kuwa kweli,,,yawezekana anayekataa hapa ni mhusika wa huko!! Lets be patient!Asiyejua maana haambiwi maana...! Juha siku zote hujifanya mwerevu kuliko wote...usoni atakufyonya lakini moyoni anakukubali....kule kuku Diss ni dalili za inferiority complex. ...mtu wa namna hii unamdharau tuu
Lete funzo lako ndg watu wapate maarifa..Niliyakataa mm mwenyewe hayo!
Mkuu Mshana jr mbona haya mambo unayaelewa sana? Au nimdau?nijulishe niku pm maana nahitaji sana fweeedhaNi aina mojawapo ya uchawi wa kupata utajiri ukiacha huu wa ;
kuua ndugu
Kuwafanya wanafamilia ndondocha
Kuwekwa kidonda mwilini
Kupewa masharti ya chakula nguo na magari nk nk
Huu una mambo yake ya ajabu, unapewa dawa ambayo utamshirikisha mkeo tuu....ukishakunywa hiyo dawa unakufa na kuoza kabisa mpaka kutoa funza wengi
Sasa mkeo kazi yake kila siku itabidi awafagie hao funza na kuwaweka kwenye ndio kwa mpaka siku ya saba utakapofufuka..... utajiri wako utategemea na wingi wa funza watakaokusanywa kwa siku
Ukishamaliza siku Saba utafufuka na biashara zako zitaanza kuchanganya
Onyo na tahadhari
-hutakiwi kuwa na mwanamke mwingine
-mkeo hapaswi kushtuka mara ya kwanza akiwaona funza utakufa moja kwa moja
-so wewe wala mkeo mnapaswa kutoa siri hii kwa yeyote hata chini ya mtutu wa bunduki
-Ishu ya kufa wiki nzima na kuoza utaifanya kila biashara zinapoyumba
Kama bado unataka utajiri kwa njia za mkato fikiria mara mbili kabla hujamua
Nasikia nawe ulikwenda huko makete?Bt wanawake si watunza siri.ndio maana siku hiz wanaamua wafanye ule wa kudonoa mahindi;
Wengine anatakiwa ajisaidie nyumban kwake tu hata ubanwe vipiDuh!kuna tajiri mmoja yeye alipewa sharti la kutojisaidia chooni(yaani ni mtu wa kukata gogo porini)sasa ukiwa posta mpya sijui pori la haraka linakuwa wapi?
Hivi mshana haiwezekani kupata mali kwa njia nyingine za miujiza pasipo tumia ushirikina?Si ndio uliomba mwenyewe kwa mganga upate utajiri kwa njia ya haraka na mkato?
Uchawi salama ndo upoje?Wewe twende msata kuna uchawi salama kule beba kaniki moja tuu
Nasubiri kwa hamu mkuuKesho nitatiririka hapa, so tulia mkuu
Gymkhana kulee hahahahhaDuh!kuna tajiri mmoja yeye alipewa sharti la kutojisaidia chooni(yaani ni mtu wa kukata gogo porini)sasa ukiwa posta mpya sijui pori la haraka linakuwa wapi?
Mkuu sana sasa hizo funza zinatoa hela ya dolali au madafu...maana asijee akajaza ndoo saba kwa hizo siku saba halafu hela yenyewe ya chenji chenji..😕🙂utajiri wako utategemea na wingi wa funza watakaokusanywa kwa siku