Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Nakataa kata kata. Si kweli.
Istoshe ukiona unafanya ibada zinazo tafuna watu huo sasa ndio Ushirikina (Satanism) sio Mila na Desturi.

Mila na desturi ni moja ya ibada za kishetani,kwasbb zinahusisha umwagaji damu,kafara( wengi) kupitia wanyama!!

Jambo lolote linakohusisha damu/kafara haijakishi ni damu ya wantama,ni ibada kamili.,tena ya kuabudu miungu wengine,
Ndo maana Mungu anachukizwa.... Soma kutoka 20:5
Ndo maana Yesu alifanyika kafara Ku replace hizo mambo,damu yake inalipa fidia ya hayo,ndo maana watu wanahubiriwa kuacha hizo mambo.(kwa kifupi,out of topic)
 

Nafaham, I am a pure Christian naelewa.

Sadaka hzo zipo tokea Agano La Kale zimeelezwa ndizo walizokua wakifanya akna Ibrahim, Musa, Cain na Abel na wengine. Yesu alivyokuja akafanya mabadiliko na kutoa uponyaji.

Unatafsiri vp ndugu yako kaumwa na kuteseka for years under strange circumstances kafanyiwa mila kapona ?? Stick to what u believe.
 
mshana jr

Mimi nachojiulizaga hizo kafara huwa zina uhusiano gani na utajiri? yani ni process gani inafanya mtu apate hayo mahela baada ya kumuua ndugu/jamaa yake.

Connection ipo kwenye ku sacrifice ile damu ya ndugu for material things huku ukingojea kukaangwa baada ya kifo. Hujawahi kuona baadhi ya matajiri wakifa wanahangaika sana zile siku za mwisho hasa hasa yale masaa ya mwisho kabla ya kukata roho.
Yule ndugu unaemtoa kafara hafi kihivyo. Hua anakuja kumkera aliyetoa roho yake mpaka mwisho wa maisha yake.
 
Nimekupata aisee mangi! Hata sisi wachaga tunasemwa vibaya sababu ya bidii yetu na kujinyima.

Mkuu tunaposema wachaga,au wakinga au kabila lolote lile, haina maana ni wote,still wapo ambao wanatafuta kwa njia halali!
So km we ni mmojawao usiseme sisi!!

BT wanye mali za manyoka ni wengi sn ht sio hayo makabila tu.
 
Hii ni shida kwa sasa,Kizazi cha Kisasa kinataka Mambo yatokee sasa,Hakitaki kusubiri wala kuhangaika ili kupata Mafanikio......Matokeo yake ni Mafanikio ya Muda kitambo tena wengine Yasiyo na Raha...Watch Out!!
 
Kumbe shetani anachagua kabila atiee!

Kila kabila lina mambo yake mkuu...

Kuna wenye mazezeta ndani,misukule ,wanaoua kabisa wanandugu,hasa wazaliwa WA 1 it depend na mashart na maagano ya familia,au kabila husika
 

Hahaaaaaa
Uwiiii
Nimecheka sn
 
Sijaelewa kwanini unaipenda mila ya kichaga ilhali ni sawa na uchawi tuu?

Mkuu na hapo ndo wengi wameshikwa wakijua mila ni kitu sahihi bila kujua ni kuabudu miungu ya familia/ukoo.(mizimu)
Hawajui sgetani kajificha hapo na na wanamwabudu bila kujua,japo wazee wao wanajua!!!

Ngome za Lucifer hizi hapa!
.dini
.mila na desturi
.uganga
.uchawi
. Kupunga pepo
 
Binafsi nazipenda na kuziheshimu sana mila za wachaga

Mkuu kwa hili ya we Una mwabudu Lucifer bila kujua.

.mila na desturi
.dini
.uganga
.uchawi
.kupunga pepo
Hizi zote ni ibada za kuabudu miungu mingine.
 
Hakuna utajiri wa halali na kama upo ngamia atapita kwenye tundu la sindano

Upo kabisa tena bila kupepesa macho.
'Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa'!
'Dhahabu na fedha ni Mali ya Bwana'
Tena Mungu anasema'mimi no Mungu nikupae utajiri'

Km we huwezi sio wote mkuu
 

Nimependa Maelezo yako, yapo vzr!
Pamoja na yote jibu ni moja tu kuwa mnamwabudu Lucifer kupitia miungu ya ukoo/familia.(miungu ya asili) km ulivyosema mwenyewe hapa!
Na ndo uchawi wenyewe!!!
Uchawi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu!!

Soma kutoka 20:5 na kuendelea utaelewa mkuu.
Mungu ni 1 mingine miungu.

Hapa naposali wachaga ni zaidi ya 70%(kimara)
Hizo mambo zenu zimeleta shida kwenye familia nyingi za wachaga walioamua kumpokea Yesu na kuacha hizo mila.lkn Mungu ndo mkuu watu wanabadirika!!
 
Upo kabisa tena bila kupepesa macho.
'Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa'!
'Dhahabu na fedha ni Mali ya Bwana'
Tena Mungu anasema'mimi no Mungu nikupae utajiri'

Km we huwezi sio wote mkuu

Napinga kabisa pesa dhahabu n.k ni mali ya shetani mungu mali yake ni vitabu vya dini
 
Mkuu kwa hili ya we Una mwabudu Lucifer bila kujua.

.mila na desturi
.dini
.uganga
.uchawi
.kupunga pepo
Hizi zote ni ibada za kuabudu miungu mingine.

Hapana kaka nikisema hivyo simaanishi zote kuna nyingine sikubaliani nazo
 
Hapana kaka nikisema hivyo simaanishi zote kuna nyingine sikubaliani nazo
mshana jr tumeona utajiri unaotoka na masharti ya umwagaji damu kama kafara, ukasema kuwa ile roho ya mtu unayoitoa ndiyo itakuwa kama muhuli wa utajiri wako kule kuzimu, je…! msharti ya ubakaji, au kuwaingilia nduguzo, wazazi au vichaaa, wajawazito yanahusiano gani, ebu nijibu niweze unganisha na lile ninalojua.
 
Last edited by a moderator:
merengo90 hilo nalo ni muhuri unakumbuka bustani ya eden na tunda la mti wa kati? Unakumbuka maangamizi ya sodoma na gomora? Unakumbuka Samson na Delilah? Ukiacha damu muhuri mwingine ni ngono
Nimehudhuria ibada za dini ya satanism damu na ngono ni sehemu muhimu ya ibada kwahiyo ukiunganisha dots utapata jibu
 
Last edited by a moderator:

Hahaaaaa
Kweli mkuu sisi alikuwepo mmoja Ir,miaka hiyo mi nimesoma na watt wake primary!!
Jamani, baba tajiri lkn hao watt ukiwaona sare za shule tu ni tabu,hizo daftar utachoka!!
Baba mwenyee suti hyohiyo alikuwa habadirishi,viatu ni hivyohivyo.....
Halafu kila mwisho WA mwaka alikuwa anamwaga vitu kla kitu dozen 1 jalalani....watu wanajibebeaa tu....
Na kujisaidia ilikuwa njiapanda porini mbali na mji.....

Huyo mkinga inasemekana aliua 1st born na wazaz wake ......mkewe alikuwa hajui,na kuna chumba aliambiwa asiwe anafungua,kiherehere chake cku 1 kafungua kamuona mwane anapanga vitu,kachanganyikiwa....akaambiwa ukisema tu na we utamfuata mwanao akawa mpole tu.
Na tulikuwa tunaambuwa ukiingia dukani kwake anakuona upo uchi!!!

Cjui alikosea mashart gani aiseee,unajua kufirisikaaa mpk amekufa Hana kitu.......
Na watt ht hakuna waliosoma,ss hela ya nn hiyo....
Kuna wawili cjui wamegawana jengo la baba yao wamefanya partition wamefungua maduka yao.....
Ss cjui wao itakuwa ya halali au vp
 

Mkuu asante,umemaliza kila kitu!!!
Hapa naposali alikuja dada 1 na shida zake,baada ya maombi mapepo yakalipuka na ilikuwa ni ibada tu kanisani hivi, na kusema yamechukua cheo chake ambacho ilikuwa apandishwe Nov 014, tena aliyefanya hivyo ni mfanyakazi mwenzie,rafiki ake wa karibu akishirijiana na mama are mzazi ,so alipandishwa cheo yy instead ya huyo Dada aliyekuja kuombewa.lkn Mungu mkuu bana ,baada ya maombi ofisini mambo yakabadirika,ikabidi cheo kirudi kwa mwenyewe...na km unavyojua inatakiwa kusamehe,basi japo alilia sn hakutegemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…