Bado kuna watu wanaulizia uthibitisho! Utafikiri wanaishi mwezini hizi habari zipo nyingi mno na zipo kila mahali kwenye jamii zetu
Shetani anapenda damu sana. Hata wewe leo mtoe kafara mwanao wa kwanza au dingi halafu muambie shetani maneno haya. Lucifer natoa sadaka hii ili niwe tajiri, n=sio urongo ndani ya miezi sita utakua nazo tu. kama unabisha au huna kazi tembelea Mererani, yaani wewe sululu moja tu ardhini unaibuka na bonge la jiwe. Ila tu unaemtoa kafara awe blood relative. Yaani ndugu wa damu.
Kumbe shetani anachagua kabila atiee!Wakinga na wabena ni hatari sana kwa misukule
mshana jr
Mimi nachojiulizaga hizo kafara huwa zina uhusiano gani na utajiri? yani ni process gani inafanya mtu apate hayo mahela baada ya kumuua ndugu/jamaa yake.
Kumbe shetani anachagua kabila atiee!
Siamini katika uchawi.
Kiyoya hii kitu ni kila mahali mpaka kwenye ndoa na mahusiano hata kwenye dini zetu huwezi amini watu wanaroga sana tu,ila niliamua kuanza na kipengele kimoja kwanza cha utajiri .nitakuja na kingine cha dini ambacho najua nitapata upinzani mkubwa sana
Embu pitia na hapa. Mithali 21:17
Bado kuna watu wanaulizia uthibitisho! Utafikiri wanaishi mwezini hizi habari zipo nyingi mno na zipo kila mahali kwenye jamii zetu
Shetani anapenda damu sana. Hata wewe leo mtoe kafara mwanao wa kwanza au dingi halafu muambie shetani maneno haya. Lucifer natoa sadaka hii ili niwe tajiri, n=sio urongo ndani ya miezi sita utakua nazo tu. kama unabisha au huna kazi tembelea Mererani, yaani wewe sululu moja tu ardhini unaibuka na bonge la jiwe. Ila tu unaemtoa kafara awe blood relative. Yaani ndugu wa damu.
Nami siamini kabisa kuwa mtu unaweza kuwa tajiri kwa kupitia imani za kishirikina.
Hata hili wimbi la kupotea kwa watoto lina uhusiano mkubwa na hawa watafuta madaraka hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu
SISI wakinga hatutumii uchawi bali maarifa tu. Kwanza utakubaliana na mimi kwamba wakinga ni wachapa kazi, hili halina ubishi it is there for all to see.
Wakinga sio wahongaji, wakinga hawavai nguo za bei mbaya, hawanunui magari ya kutanulia, hawanywi pombe za matanuzi, hawali nyama, wakisafiri hawali njiani maana kuna ule mkate wao wa kikinga ambao husafiri nao, kanisani wanatoa kiasi kidogo tu. Kwanini wasilimbikize mali ? Hutegemei kuona tajiri mbondei kwasababu tabia zao ni kinyume kabisa na za wakinga. Kama kuna mtu alishawahi kuona tajiri wa kibondei aingie pm nimtumie vocha anipigie.
Kuna mmoja nikikua naambiwa ukiingia dukani kwake anakuona upo uchi nikabisha nikaenda na mazivu yangu nikanunua vitu wakati nataka kuondoka akanipatia nyongeza ya kiwembe nilibaki tu nashangaa.
Halafu akienda mdada yupo period anahudumiwa na Mke wake tu..usichezee mkinga na watu wanapanga foleni dukani kwake