Michelle Hilton
Senior Member
- Jun 26, 2011
- 141
- 15
- Thread starter
- #21
naona wengi mmekurupuka na kujibu na hamna hata mmoja mwenye jibu naona porojo tu,kamuulizen kwanza mcjifanye mnajua kila kitu
Sio mitume feki km mbowewewe huwa hatuhoji madhambi ya mitume.
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!Acha utoto bana!
babaake unamjua na unahakika mali zote alizonazo zimetokana na alichorithi!!tafakar kijanaHuna hoja ya msingi baba yake alikuwa na mashamba mengi ya ngano na shayiri tangu kabla ya uhuru, ukoo wao ni wa kitajiri so ameendeleza mali. una dukuduku jingine?
Mali ni yake usilete roho korosho ya CCM. Mbona hamtuelezi SUKITA iliishia wapi?Join Date : 26th June 2011Posts : 23Thanks0Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power : 0NAONA UMEANZA KAZI YA NEPI/NAPE leo.
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?
Unakwepa kwa kujifanya hujui kiswahl acha upoyoyo mengi huyajui kijana
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Huwa nashangaa sana watu wanapo muonda Mbowe kama mwizi kwenye swala la NSSF...kama mtu kafata taratibu zote za mkopo, mnawitaje mwizi na kama kashindwa kuripa si kuna sheria au kwenye makubaliano walikubaliana vipi kama atashindwa kulipa na makampuni mengi yakishindwa kulipa huwa yanafanywa nini, je mbowe alikopa binafsi au kama kampuni je hiyo kampuni iko wapi, je hivyo kampuni haina mali, je mbowe ana hisa ngapi kwenye hiyo kampuni...hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?
ELININO, mistari imetulia sana. Njoo kwangu niwe promota wako nikutoe. Tehe tehe! Unajua humu JF wale watu waliotumwa kuchafua ni bahati mbaya uwezo wao ni wachini sana. Sasa kama huyu lijamaa anakuja na swali badala ya kutoa akijuacho kama vile si tuko chumba cha mtihani? huu si ubwege?Kama babako hana hata baskeli ya kukuachia urithi ni shughuli pevu kutoka kimaisha ndugu. Mlaumu dingi yako kwa kutokuhangaika enzi hizo. kwa hiyo usiwe na wivu ndugu, jitahidi kutafuta utapata na wewe vya kwako.
Kwenye historia kuna tetesi kwamba mzee Mbowe alisaidia sana chama cha TANU na pia mwalimu aliondokea Arusha baada ya kupata fedha wakati anaenda kuhutubia mkutano wa kimataifa UNO enzi hizi za kudai uhuru. kwa hiyo usishangae freeman anajuana na kina makongoro tangu utoto. upo hapo? lol na mzee mawe alikuwa nayo toka enzi hizo.
Fanya kazi, Tuliza moyo wako, ongeza kipato, punguza matumizi yako, kubali mapungufu yako, chunga tamaa ni mbaya - UTAFANIKIWA. ha ha ha
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo