Utajiri wa Freeman Mbowe

Utajiri wa Freeman Mbowe

Huna hoja ya msingi baba yake alikuwa na mashamba mengi ya ngano na shayiri tangu kabla ya uhuru, ukoo wao ni wa kitajiri so ameendeleza mali. una dukuduku jingine?

huyu sio fisadi kama anvyofikiriwa,pamoja na ulivyotaja Chilipmwao ambavyo ni vya urithi huyu jamaa ni mzalendo kwelikweli la sivyo angeishi ulaya kama ndugu zake.hivi unaweza kuhoji utajiri wa kina Munanka(watoto wa Bwoke Mnanka)? au Rupia Au Sykes, tunahoji watu kama E.L,Mzee wa visenti na wengine kama hawa kwakuwa back ground yao ni sana kwenye utumishi wa umma na hawakuwa na wazazi wenye pesa kabla ya uhuru.
 
Huna kazi lamaya wewe, verry stupid, umemgusa nani pabaya...laanaa wewe, mali za mtu zinakuhusu nini tafuta uhalali sio kuleta umbea dhaifu.... Mzee wa meeeeeeee


mbowe ni chanzo cha tatizo ...
 
..."Pilipili ya shamba yakuwashia nini?"
"Mavi usiyoyala wayawingiani kuku?"...
....WAHENGA walisema!

achana na wahenga ukiwasikiliza sana kwamwe huto endelea ...

Hao watoto wenu wanatokaje nyumbani kwenu kulifuata hili 'danguro' unalozungumza? Kama mnawaruhusu kwenda huko na wameharibika, basi wa kulaumiwa na kulaaniwa wewe (ninyi) kwa matokeo hayo. Huyo "mtoto" Lulu alikuwa mwajiriwa pale kwenye hilo 'dnguro', mkuu ili tumshitaki Mbowe kwa kuhusika na child-labour?

watoto wetu tunawafundisha maadili mema lakini mbowe ana waharibu ... jamaa huyuhuyu alikuwa anautaka uraisi .. lazi kwelikweli ...

nakutakia mfungo mwema

 

Huna kazi lamaya wewe, verry stupid, umemgusa nani pabaya...laanaa wewe, mali za mtu zinakuhusu nini tafuta uhalali sio kuleta umbea dhaifu.... Mzee wa meeeeeeee

Shukran! mwezi mtukufu wacha niwe mpole! ahsante !
 
Anzisha thread yake hapa acha watu wajikanyage kuhusu utajiri wa Mbowe. Kuna watu wanadhani Freeman ni 'mtoto' pekee wa mzee Mbowe kwa hiyo wanahalalisha mali zake na urithi, nendeni Mkamuulize Chale kaka yake Freeman urithi wao ulivyogawanywa, na kwa nini yeye Chale sio milionea kama kweli baba yake aliwaachia utajiri.

Wewe mpuuzi acha uongo.. Babake Mbowe angekuwa maskini kama unavyosema hapa asingethubutu kutia mguu kwa Elitira (kakake Reginald Mengi) kumwoa mdogo wake.. Yaani babake Mbowe asingekuwa vizuri financially asingeweza kuoa nyumba ya akina Mengi..

Pili, Mtanzania wa pili kumiliki Royce Rolls baada ya ile ya Ikulu ni Mzee Mbowe na Mkewe Aishi na alipewa special exemption na Mwalimu ya kuingiza hiyo gari kipindi hicho hata kununua suti nje ilikuwa ni ishu..

Tatu, Mbowe aliachiwa mali nyingi tu, ikiwemo Club, Hotel ya kitalii kule Machame, na biashara zingine Nairobi ambako wazee wa kichagga walikuwa na biashara zao nyingi huko..

Nne, kama unadhani biashara ya siasa inalipa sana basi tusubiri miaka 10 ijayo ZZK atakuwa Tajiri kiasi gani na ACT yake..
 
Kama munaj ua kuwa amezipata kwa njia za wizi basi litumbueni hilo jipu,ila bila kusahau marais wastaafu kuchunguzwa
 
Ukoo wa mbowe 85% wanajiweza historia inambeba sasa yule wa msoga na mwanae utajiri wote wametoa wapi na historia haiwabebi
 
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo

Kuna vi thread vya kipumbavu sana siku hizi jf...ma Mods mpo wapi.mna merge topic za maana topic kama hizi za kijinga mnaziacha..irudisheni jf iwe sehemu ya kujadili kwa hoja na mambo ya msingi isiwe mtu ameamua amsakame kiongozi wa chama fulani basi naye anapost mnaacha tu...irudisheni jf kwenye ubora ondoeni hizi effects za uchaguzi.
 
Back
Top Bottom