Beautiful Lady
Senior Member
- Jun 8, 2011
- 135
- 43
Kwani wewe umeshawauliza viongozi wa chama chako juu ya mali zao? nakushauri shughulikia chama chako kwanza.
NSSF alikopa kwa jina lake, hakuanzisha kagoda wala green finance feki kama za vigogo wa CCM.
Pili, baba yake alitoa fedha nyingi sana kwa ajili ya kuchangia harakati za uhuru, ikiwemo nauli ya Nyerere kwenda New York. Vinginevyo, angekuwa na zaidi ya hizi fedha alizo nazo sasa.
Acha kuwa km zezeta kila mtu anatumwa na ww umetumwa ma nan ?Nyambaf umetumwa wewe MAGAMBA MKUBWA!
hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?
Unauliza jibuKwani wewe umeshawauliza viongozi wa chama chako juu ya mali zao? nakushauri shughulikia chama chako kwanza.
hebu tumuulize na huyu mbabu anamiliki umaskini kiasi gani, maana kina rostam na lowasa walimtumia sana
Umemjibtu vyema.Sasa akakue halafu arudi mwakani.Kenge dume!
ni mfanyabiashara mkubwaNawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Unahis au unadhan tunapoteza mudaSwali zuri kwa hao wanaopoteza muda wao.
Anzisha thread yake hapa acha watu wajikanyage kuhusu utajiri wa Mbowe. Kuna watu wanadhani Freeman ni 'mtoto' pekee wa mzee Mbowe kwa hiyo wanahalalisha mali zake na urithi, nendeni Mkamuulize Chale kaka yake Freeman urithi wao ulivyogawanywa, na kwa nini yeye Chale sio milionea kama kweli baba yake aliwaachia utajiri.
makenge ni nyie wa magwanda mnaaotawaliwa na ukoo mnaburuzwa tuAkikua elezwe pia kwamba baba yake Mbowe ndiye alimpa nauli Mwl Nyerere kwenda kudai uhuru Ulaya.
Unaonekana hata mila za Kichagga huzifahamu. And for that matter hata mila za Kiafrika.Anzisha thread yake hapa acha watu wajikanyage kuhusu utajiri wa Mbowe. Kuna watu wanadhani Freeman ni 'mtoto' pekee wa mzee Mbowe kwa hiyo wanahalalisha mali zake na urithi, nendeni Mkamuulize Chale kaka yake Freeman urithi wao ulivyogawanywa, na kwa nini yeye Chale sio milionea kama kweli baba yake aliwaachia utajiri.
Unaonekana hata mila za Kichagga huzifahamu. And for that matter hata mila za Kiafrika.
pimbi wa mawazo magari aliyotumia nyerer mengi yalitoka kwa mzee mbowe akupenda makuu wala uongozi katka serikal ya nyerere bali yeye alitaka kupewa jina la heshima. Akawa anaitwa mheshimiwa mboweUnamaanisha baba yake aliye mlea mzee mbowe? Maana baba yake kafa masikini tu na hakuwa na makuu mzee wa watu mungu amrehemu.
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
pimbi wa mawazo magari aliyotumia nyerer mengi yalitoka kwa mzee mbowe